Mchepuko almanusra udakwe bafuni

Mchepuko almanusra udakwe bafuni

La umuhimu ni kumrudia Mungu na kuogopa kufanya maovu,dini hazijasema uchepuke kisa tu unahisi hujaridhishwa,tubadilike
 
Hahahahahahaha..........
Hiyo hatari, naakome kabisa kuchukuwa wake za watu. Yaani huyu alibidi akutwe kwanza iliale kichapo..
 
unaongea ukweli hadi basi!
kuna saa huwa tunarukia tunda tu, hatuoshi ndio maana ndoa zetu zina kipindupindu cha wizi!
ki kawaida, mke anapungua utamu kadri unavyoishi naye, na mapenzi yanakuwa more of responsibilities kuliko hamu (hii kwa midume mingi). michepuko huwa inatamanisha Zaidi na ile "hard to get" huwa inampa raha sana dume, yaani miss chagga kama mwanaume kakupenda leo, na leo hii ukatoa mzigo, hata uwe mrembo vipi bado jamaa ataona una mapungufu, kuna phases kadhaa za catch me if you can hajapitia ile mihemko inakuwa sio mikubwa. just an average girl akiutoa mzigo kwa mbinde, ile kimbizana na trick ambazo mwanaume katumia huwa ni sehemu ya starehe!
back to ndoa, mazingira hayo hayaji tena, instead locations za game zikibadilika nazo u-boost tendo! vihamasisho kama text messages, nyimbo au attires nyingine kama shanga, bikini, au mitego tofauti huwa inaleta hamu kidogo kuwa juu!
Labda cha mwisho ni huku kutukumbusha kuwa huwa mnataka kufanyiwa nini!
Asante miss chagga kutufanya tukumbuke mambo mengine ya ziada!
Muwe wapole tu ukiona unagongewa
 
mkuu ukweli ndiyo huu japo nitaonekana kama natetea maovu.. wanaume wengi wakioa yani zili ashki ashki zinaisha sijui wanahisi wanawake wanapata monopose baada ya ndoa mi sielewi..lakini wangefanya kautafiti mwanamke anapata raha zaidi wakati gani? mi nijuavyo wakati wa ashki ina raha yake jamani kabla ya dushe,,, sasa humo ndai mume kafika zaidi ya kunyonyana ndimi hakuna kingine aisee.. unakuta ananyonya ndimi akijiongeza sana kashika titi na ushikaji wake kama anakanda mandazi teh.... sasa hapo napata kijana huko kwanza mzigo anauomba kwa maneno matamu matamu halafu unampa cha wizi acha tu
Kwa style hii Ukimwi utatamba Milele
 
Yaani nitakurushia vitu laini laini vyenye kuleta hisia za ndani katikati ya apple,halafu utajikuta dunia ingine kabisa huku ukitaka tena na tena mpaka mambo yanafikia kilimani juu kabisaaaaaaaa.
Asante
 
Ukifuatilia kwa undani wake utakubaliana na maneno ya miss chaga, wanaume tulio wengi tunasahau kutimiza wajibu wetu kwa wake tuliowaoa aidha kwa kudhamiria au kutojua / kutoona umuhimu wa kutoa ile huduma pendwa kama tulivyokuwa tukiitoa kabla ya kuanza kuishi pamoja rasmi. Hakuna tena kujali, kubembeleza, kumwandaa, dozi inapungua kiasi ambacho mke anapoteza mvuto wa penzi kwa mumewe. Pamoja na hayo yoote akina mama/ dada pia msibweteke, timizeni wajibu wenu kwa upande wenu pia ili tuenende sambamba
 
Sioni ajabu hapo, n imewahi kumla dada wa watu ambae kwa umri ule atakuwa amlikuwa ameolewa tuu, tena hadi tiGO niliibanjua na rasmi nikaanza kuwa na mzuka sana na huo mchezo
 
daha hatari aiseee ,.. kuoa si hoja hoja mnatupa mapenzi baada ya ndoa au mnafikiria tukiolewa hisia zinakufa na hatuitaji mtekenyo mtekenyo nikiwa na maana hiii kuombwa mzigo kimahaba mahaba .. kunitumia sms za mapenzi .. sasa uunakuta mtu na mumewe sms ikiingia ni maagizo tu hakuna mahabati

hahahahaha......''nimemuagiza Musa,yule fundi wa site ya Kigamboni,mpatie laki mbili akija mchana.Ally Magari pia atakuja saa 11 kukagua hiyo gari nyingine tunaoyoiuza,mruhusu na nimepokea simu ya mama toka mkoa huko,anaumwa so kama vipi mcheki kumjulia hali.
LEO NITACHELEWA KURUDI NINA KIKAO CHA HARUSI YA MSHANA HUKO RANGI TATU SO HADI KUFIKA KAWE ITAKUA LATE,USISHTUKE!''......dadeki,maisha yanatupelekesha sana aisee
 
hahahahaha......''nimemuagiza Musa,yule fundi wa site ya Kigamboni,mpatie laki mbili akija mchana.Ally Magari pia atakuja saa 11 kukagua hiyo gari nyingine tunaoyoiuza,mruhusu na nimepokea simu ya mama toka mkoa huko,anaumwa so kama vipi mcheki kumjulia hali.
LEO NITACHELEWA KURUDI NINA KIKAO CHA HARUSI YA MSHANA HUKO RANGI TATU SO HADI KUFIKA KAWE ITAKUA LATE,USISHTUKE!''......dadeki,maisha yanatupelekesha sana aisee
sms kama hiyo halafu ukamalizia na neno i love u baby kuna ubaya gani?
 
Back
Top Bottom