Natafuta sehemu ya kujitolea, nina shahada ya Uhasibu

Sep 13, 2016
16
3
Habar wadau,natafuta sehemu yoyote ya kujitolea ya assistant accountant au inayoendana,nina degree ya uhasibu, iwe Dar es salaam lakini.​
 
Kuna mishe jioni nafanya ,ndomana nikataka hapa Dar istoshe n kujitolea bt km ipo ya kulipwa hata mkoani sawa
 
Kijana endelea kupigika tu... Hiyo kazi unayoitak kwa vigezo vyako hupati Dar hii
 
Watu mnakomaliaga Dsm kufanya nini nakupa ushuhuda wangu mwenyeww

Nilipomaliza chuo wengi walipata mahali kampuni mbalimbali nafasi za intern(wengi kati tuliomaliza nao) mm sikubahatika japo tulikua tunaomba wote

Nakumbuka siku moja nikasema ngoja nijaribu mikoani breki ya kwanza nikatua Dodoma sina ndugu wala jamaa na ni mara yangu ya kwanza kufika nikapeleka barua na vyeti ndani ya siku 2 nikajibiwa nianze kazi

Nilikaa miezi miwili bila kulipwa hata senti nilikua nimejibanza kwa jamaa yangu tulisoma nae Advance akasomea udom akaanzisha geto hapo

Sitasahau siku napewa pesa kwa mara ya 1 nilipewa 1.0M, mwezi uliofata nikapewa 800, ikawa trend ya 800 ( naeleza kitu cha kweli)

Nikawa nimewapita hata wale waliopata huku makao makuu dsm wanapewa 400

Ishu ni kuvumilia hata mikoani tuangalie jamani tusiangalie Dsm tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom