Recent content by jabarijoka

  1. jabarijoka

    Msaada kwa anayejua wimbo huu

    Audio yake msaada wajameni?
  2. jabarijoka

    Rais Magufuli kafanya mengi mazuri na makubwa, lakini vitakavyomuangusha ni vile vidogo vidogo na anavyovidharau

    Suala la tunanufaikaje na miradi mikubwa inayosimamiwa na serikali ya JPM inaiingizia serikali fedha nyingi zinazotumika kwenye social services unazotumia for free mfano mbona mnajifanya amuelewi Mbona wakati wa katibu mkuu slaa ndio tulikuwa tunayasimamia eti leo mnakana Hakika ni mashaka...
  3. jabarijoka

    Rais Magufuli kafanya mengi mazuri na makubwa, lakini vitakavyomuangusha ni vile vidogo vidogo na anavyovidharau

    Ujawagawa hao wafanyakazi katika makundi sahihi Kumbuka kuna kundi kubwa la wafanyakazi waliokuwa wamechoshwa na mfumo wa serikali za awamu zilizopita kuhusu kuendesha nchi kwa kukumbatia matajiri na wafanyabiashara matajiri na kusahau kutetea maskini Huyu jamaa anachukiwa sana na matajiri sema...
  4. jabarijoka

    Rais Magufuli kafanya mengi mazuri na makubwa, lakini vitakavyomuangusha ni vile vidogo vidogo na anavyovidharau

    Ujawagawa hao wafanyakazi katika makundi sahihi Kumbuka kuna kundi kubwa la wafanyakazi waliokuwa wamechoshwa na mfumo wa serikali za awamu zilizopita kuhusu kuendesha nchi kwa kukumbatia matajiri na wafanyabiashara matajiri na kusahau kutetea maskini Huyu jamaa anachukiwa sana na matajiri sema...
  5. jabarijoka

    Dhana ya Ubeberu na Siasa za Tanzania

    Huu mtandao ni kama darasa unajifunza tu hadi raha.
  6. jabarijoka

    Namkumbuka Prof. Kighoma Malima

    Kuishi kwingi ni kuona mengi endeleeni kutupa habari za prof malima na undani wake [emoji849]
  7. jabarijoka

    Namkumbuka Prof. Kighoma Malima

    Ndio maana watawala kuuona ufalme wa mungu ni vigumu kiasi ambacho ngamia anaweza kuingia kwenye tundu la sindano kwaulaiisi zaidi yao
  8. jabarijoka

    Namkumbuka Prof. Kighoma Malima

    Nimepata kitu flani Asante
  9. jabarijoka

    Msaada kwa anayejua wimbo huu

    [emoji120][emoji120][emoji120]
  10. jabarijoka

    Msaada kwa anayejua wimbo huu

    Kuna wimbo ulioimbwa na msanii kutoka Kenya unaongelea mafisadi. Kiitikio chake ni "Sitasimama maovu yakitawala" [emoji120][emoji120] Nisaidieni jina la nyimbo iyo na jina la msanii Nautafuta sana [emoji120][emoji120]
  11. jabarijoka

    Ningependa kujua tafsiri ya msamiati 'Asasi'

    Napenda kujua tafsiri ya msamiati Asasi. Mara nyingi nimesikia wakisema Asasi ya Kiraia lakini Asasi ni nini sijajua bado. Naomba kufahamishwa, I'm deep [emoji120][emoji120][emoji120]
  12. jabarijoka

    Natafuta mchumba wa kiume

    Una risk aiseee
Back
Top Bottom