Wakati wa mjadala wa kujadili mswada wa sheria ya kudhibiti matumizi mabaya ya mitandaoni, ilifika wakati wa kupitia kifungu kwa kifungu,
mjadala ulikuwa hivi
Mwanasheria Mkuu(AG): Nimekubaliana na mapendekezo ya Chenge lakini sikubali ya Lisu,
Speaker: Chenge Mtoa hoja unasemaje?
Chenge...
Hivi Mke wa Rais mstafu Ben Mkpa ni yupi, yule mke wa Basil Mramba au yupi? Je mke wa JK ni yupi? Je mke wa Nyerere wa kwanza mnamfahamu? Hatutaki kujua mke wa mtu tunataka mtu mwenye uzalendo, Dr Slaa anauzalendo wa kutosha kuwa Raisi, tuombe uzima tu Slaa anaingia ikulu,
Hii kitu inagawiwa bure kwa gharama ya nani?
acheni uhuni si mkatoe misaada huko morogoro kwenye mafuriko jamani
kama mnazo pesa na hazina mashaka zilikopatikana
Najua kampeni zinaendelea lakini tulio mbali na maeneo hayo tunapenda kujua mwenendo wa kampeni jaman,
naomba walio maeneo jinarani au maeneo husika tujulishaeni kadrii siku zinavyoenda huko wana Jamii
pamoja
Nani kama Tundu Lissu katika mambo ya sheria nchini, bana acheni utani, JK ndio wa kumchambua Lisu Bana Jk anajua nini zaidi ya Wasanii
Lisu lete somo, wanaponda hapa huku wanahangaika kutafuta luku ili umeme usije ukakatika wakati pindi linakatwa
na Nguli wa sheria Nchini Mh Tundu Lissu...
@SALOME SICHWALE.
tusijadili kwa jaziba salome lete hoja linganifu, huu mjadala ni wa kisiasa na sio wa wasanii wala washabiki wa mpira,
tumia lugha ya staa jamani. Binafsi niliguswa na kitendo cha hao Watanzania wenzetu kulowana na mvua kwa ajili tu
ya darasa la Dr Slaa. nikajua hapo lazima...
Songea Mkutano wa Dr Slaa
Hii picha imepigwa wakati mvua kubwa inanyesha
Nimefurahishwa sana na Wananchi kuendelea kumsikiliza Mh. Dr W.P. Slaa na wakati mvua kubwa inanyesha,
Binafsi nimejifunza yafuatayo:-
Wananchi wa Tanzania wana Imani kubwa sana na Chadema ktk kupata maisha wanayoyataka...
Bashiri ni mchambuzi na mtunzi wa Mashaihiri ya kiswahili na wala sio mchambuzi wa SIASA
awaachie wachambuzi wa kisiasa wachambue, pia na yule dogo wanayeshirikiana kuchambua hamna kitu pale
na huyu anayeendesha kipingi hicho chanel ten inaonyesha uzee ushaingia maana anashabikia uijinga tuu
Daa kazi ipo jambaz anauwa majembe yetu yalio enda chuo namna hii, nadhan kuna haja ya kuangalia mafunzo ya vyuo vya kipolice maana inatisha, au nako huko kuna Division Five, au slaa zetu Duni, au tahadhar ya askari wetu ni ndogo wakat wakukabiliana na majanga, Mungu awarehemu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.