Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,665
- Thread starter
- #81
vipi, zzk yuko nafasi gani maana naye anatembeleaga hiyo nchi.
Taarifa hii ni ya kipekee sio ya kulinganisha na zzt
vipi, zzk yuko nafasi gani maana naye anatembeleaga hiyo nchi.
Hahahaha eti safar za kikwete zina faida...Mara ngap foreign investors wanaotaftwa na magamba na kusain mikataba ya kifisadi imekuwa mzigo kwa srkl dhaifu ya ccm...wako wap wahind wa reli? Uko wap ufanisi kweny kuzurula kutafta wawekezeji wanaoongeza migogoro na wazawa?Uzuri safari za Kikwete zina mafanikio mengi. Sasa katibu mkuu anazurura kila siku???
Hayo ni matumizi mabaya ya Fedha za chama....
Hebu tuwekee vigezo vya uchaguzi na wanaofuatia mpaka namba kumi nasi tuongeze ufahamu
tusimulinganishe dr slaa na kikwete ni mbingu na ardhi kwa mtiririko huo
Raisi wetu Dr Slaa Mungu akulinde tupate uhuru kutoka kwa makaburu weusi CCM
Kwani Wassira alirudisha kadi ya cdm lini?? Au hujui na yeye ni miongoni mwa waasisi wa mwanzo na ana kadi namba 9??hivi dr. Aliondoka ccm lini? Yaani amezeeka ndiyo anang`ara, siku zote alikuwa wapi??????? Namuonea huruma kwan urais atausikilizia ndotoni
Kwani Wassira alirudisha kadi ya cdm lini?? Au hujui na yeye ni miongoni mwa waasisi wa mwanzo na ana kadi namba 9??
Dr Slaa anapenda sana kusafiri. Hivi hizo hela za safari za kila siku si bora
zipelekwe sehemu nyingine. Wana cdm kataeni hizi ziara.
Wewe mbwiga kweli kweli;mnamuogopa sana Dr Slaa kwani nani asiejua?Tafuteni mgombea mwingine slaa amechina kinoma
Labda atakuwa alipaka mafuta mengi tu wala siyo unavyomaanisha wewe.
hivi dr. Aliondoka ccm lini? Yaani amezeeka ndiyo anang`ara, siku zote alikuwa wapi??????? Namuonea huruma kwan urais atausikilizia ndotoni