arola
JF-Expert Member
- Dec 19, 2013
- 550
- 187
huwez shindana na zzk ukabaki salama. he is another level nt fm 4
Chochea moto kamanda.
huwez shindana na zzk ukabaki salama. he is another level nt fm 4
Chochea moto kamanda.
Wakimlazimisha Slaa kuwa mgombea wao, wasije wakashangaa uchaguzi unaahirishwa kwa mgombea kufariki wakati wa kampeni, mimi naona kama babu kajichokea sana
AROLA a cha kutumia miguu kufikiri DR.SLAA na Prof.LIPUMBA hata chama chako cha mafisadi kinawatambua
huwez shindana na zzk ukabaki salama. he is another level nt fm 4
Arola ni mwandishi na mwalimu mzuri wa Microbiology, nashangaa mwenye avata hii anatumia masaburi kufikiri badala ya kutumia kichwa.
Kuelekea mbio za urais upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili. Kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh. Zitto vinginevyo upinzani kushika madaraka itabaki kuwa ndoto.
Pigo la kwanza walilopata baada ya kuondokewa na ZITTO ni kubadili jina na kujiita UKAWA ili kukinurusu chama, pigo la pili ni kutumka muda mwingi kujaribu kummaliza ZITTO huku wqkiacha kushughulikia matatizo makubwa na hasa migogoro
wakati mwingine jitahidi kuficha dhima ya kile unachokusudia kuwakilisha, kuwa bila baba yako zitto kupata choo kwako ni shida
Ndio kinawatambua kama wanasiasa maarufu hapa nchini lakini hakiwatambui kama wanasiasa wanaotisha. Kutakuwa ni kujidanganya eti mwanasiasa aliyeshindwa uchaguzi wa kwanza agombee tena mara ya pili na ashinde... angalia rekodi nadhani jibu utalipata labda ujitoe ufahamu tu kisa ushabiki mandazi.
Ndio kinawatambua kama wanasiasa maarufu hapa nchini lakini hakiwatambui kama wanasiasa wanaotisha. Kutakuwa ni kujidanganya eti mwanasiasa aliyeshindwa uchaguzi wa kwanza agombee tena mara ya pili na ashinde... angalia rekodi nadhani jibu utalipata labda ujitoe ufahamu tu kisa ushabiki mandazi.
wewe chagadema acha upofu uone
1995 JK alikuwaje Dodoma dhidi ya Ben.
Watu wanaongelea uchaguzi mkuu wa tume ya taifa we unaleta porojo za uchaguzi wa ndani wa vyama vya siasa??? Uharo mtupu.
Kwani hata hii taarifa uliifanyia kazi wapi na muda gani hebu tupe tujuze ulitumia vgezo gani kwenye sampling!Kuelekea mbio za urais upinzani unaonekana kuwapigia chapuo hawa watu wawili. Kimsingi wote wamechoka na ni bora atafutwe kiongozi mpya atakaeleta ushindani kama mh. Zitto vinginevyo upinzani kushika madaraka itabaki kuwa ndoto.