Soka la bongo tulikuwa hatulioni laivu kwa kama miaka 3 iliyopita kurudi nyuma.labda mechi yanga na simba.Hivyo kumbukumbu zaidi nikwa ligi za ulaya.
Mi nakumbuka gori la Denis Bekamp la dk ya 1,Arsenal vs Newcastle mwaka 2000 "turning" ya hatari.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.