Recent content by J Maginga

  1. J

    Wapi alipo winga teleza Ramadhan Singano ""Messi""?

    Kweli dogo kapotea gafla licha ya kukubalika sana kiwanjani
  2. J

    Ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada kutua nchini wakati wowote

    Ndege imeachiwa,tumelipa shilingi ngapi kutoka ngapi zlizotakuwa awali.
  3. J

    Huu ni uchochezi wa hali ya juu, Hili gazeti habari Maelezo Mnatawaka nini watanzania?

    Jamaa wanahisi kila watakachoandika watu watakikubali.watu wameshawajua
  4. J

    Wafanyabiashara na kutosomea customer Service

    Mtoa post ulichokiandika sahihi kabisa.
  5. J

    Ni goli gani halitoki kwenye kumbukumbu zako??

    Soka la bongo tulikuwa hatulioni laivu kwa kama miaka 3 iliyopita kurudi nyuma.labda mechi yanga na simba.Hivyo kumbukumbu zaidi nikwa ligi za ulaya. Mi nakumbuka gori la Denis Bekamp la dk ya 1,Arsenal vs Newcastle mwaka 2000 "turning" ya hatari.
  6. J

    GE2020 Polepole: Zitto Kabwe atafute kazi nyingine, 2020 hatarudi Bungeni

    Huyu jamaa sijui anasali dhehebu gani!
Back
Top Bottom