Makoja
Member
- Mar 21, 2018
- 33
- 76
Mwanamke ni binadamu kama ulivyo wewe mwanaume Mwenzangu
Kwa ufupi tu ni kwamba katika kipindi cha ndoa yangu yenye uhai wa takribani miaka kumi na moja sasa nilichojifunza katika mahusiano Haya ukitaka Kumuweza Mwanamke. Usitumie nguvu kubwa sana katika kumuongoza Mwanamke kwa maana ya kuwa mkali kupita kiasi hapo wanaume wenzangu Mwanamke hautamuweza.
Mwanamke anahitaji kupendwa au kuthaminiwa, Mwanamke anahitaji kukumbushwa kila mara kwa heshima no matter how many times umezungumza nae Mwanamke anahitaji kupewa tahadhari ya mambo kadha wa kadha, ukienda tofauti na hapo ndio mwanzo wa kufarakana.
Kwa ufupi tu ni kwamba katika kipindi cha ndoa yangu yenye uhai wa takribani miaka kumi na moja sasa nilichojifunza katika mahusiano Haya ukitaka Kumuweza Mwanamke. Usitumie nguvu kubwa sana katika kumuongoza Mwanamke kwa maana ya kuwa mkali kupita kiasi hapo wanaume wenzangu Mwanamke hautamuweza.
Mwanamke anahitaji kupendwa au kuthaminiwa, Mwanamke anahitaji kukumbushwa kila mara kwa heshima no matter how many times umezungumza nae Mwanamke anahitaji kupewa tahadhari ya mambo kadha wa kadha, ukienda tofauti na hapo ndio mwanzo wa kufarakana.