Iko hiv ongea nae kwanza huyo bint je ana muda gani hayo majini yana msumbua ?na je yupo tatari kuyatoa ?Akisema yupo tayari mpeleke akapate Tiba ni haram mwanadam kumiliki jini
Hakika mkuu umeongea point nilikuwa na shidwa ni comment vip lakini ww umemaliza kila kitu
Nadhani ushaur wako hato uelewa lakini kama ana akili ya maisha atajifunza
Hekima inabidi itumike hapo kama ninge pata fulsa ya kumshaur mwanaume ninge mwambia asi huzunike miyoni mwake amuachie tu hio pesa mwanamke ajenge kwao na ww hio pesa ulio nayo usijenge kwenu kanunue kiwanja ujenge kwako kwanza kunahekima ndani yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.