Uzi maalum kwa waliokwisha soma na wanaotarajia kusoma Open University Tanzania

Habarini wadau.
Naomba mtu anayesoma open university, ama mwenye manual ya c. k mtaki ya legal system part one and two, au anaejua namna ninayoweza kuipata. tuwasiliane. Aje pm.
Natanguliza shukrani.
 
Je kuna uwezekano wa mwanafunzi aliyeanza tiari kusoma hivi vyuo vya kawaida (ameshamaliza mwaka wa kwanza tayari) na anataka kuendelea mwaka wa pili na wa tatu katika Open university?.. yaani ahame anaposoma sasa.. Msaada mkuu
Ukienda Open unaanza upya kabisa.
 
Habarini wadau.
Naomba mtu anayesoma open university, ama mwenye manual ya c. k mtaki ya legal system part one and two, au anaejua namna ninayoweza kuipata. tuwasiliane. Aje pm.
Natanguliza shukrani.
Hivi mna course work? Au ndio mwendo wa test na UE? ...mnapewa area of concentration kabla ya paper?
 
Mi nataka kusoma ila matokeo yangu ya six nina E,E,S je naweza dahiliwa au had nireseat tena??!
 
Open unajua mwaka wa kuanza masomo wa kumaliza hakuna mwanafunzi anaejua anamaliza lini.
 
CHUO KIKUU HURIA (OPEN UNIVERSITY TANZANIA)
kinatoa masomo au mafunzo kwa njia ya masafa yaani (open and distance learning/study).
FAIDA ZA OPEN UNIVERSITY
1… GHARAMA NAFUU
2…INARUHUSU KUFANYS KAZI ZAKO.
3..INAOKOA MUDA (SAVE TIME)
4..UHURU WA KUJIFUNZA NA KAZI NYINGINE.
5… UKICHOKA UNAWEZA KUPUMZIKA MASOMO PALE UNAPOKUWA NA MAJUKUMU MEENGI AU UCHUMI KUYUMBA.

CHANGAMOTO ZAKE.
1..WALIOZOEA SCHOOL FEEDING HUKU. HAKUWAFAI
2..USIPOJI COMMIT UTAFEL AU KUKIMBIA CHUO.
3..FACE TO FACE INA MUDA NI MFUUPI.
HIYO YA GHARAMA NAFUU KWA SASAHIVI SIO SIDHANI, KWANI ADA YA MBA ( F) NI 5.8 M
 
Nina Bachelor of Architecture UDSM - UCLASS, nataka nisome tena degree ya Sheria Open, naweza kupata udahili kupitia degree course nyingine?
A level nilisoma EGM
 
Back
Top Bottom