DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,458
- 99,095
Ulichosema Ni sahii kabisa.Wanaume tunalinda ndoa zetu kwa kuwanyima uhuru wake zetu bila wao kujua. Ukimpa uhuru mwingi tegemea na ndoa kufika tamati soon.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Mtoa mada ukisasa unaharibu Ndoa Yake.
Habari za Demokrasia na katiba awaachie wanasiasa.
Maisha ya ndoa,
Habari z majadiliano ya kiDemokrasia hayafai.
Baba mwenye nyumba unatakiwa kua na sauti,
Na sauti yako ndiyo maamuzi ya mwisho ya familia nzima.
Anaepinga inabidi akatafute familia nyingine.
Hizi biashara za kubargain na wanawake Ni kujichoresha na kuonyesha Ni jins gani ulivyo dhaifu Kwenye Ndoa yako.
Sio ajabu,
Wazazi wake mwanaume kesho wakalalamika kijana wao kashikwa Akili na mwanamke, Na Ni kwei kashikwa Akili maana hawez KUFANYA maamuzi Kama baba wa familia.
NIKIWA NA KIJANA DHAIFU KAM UYO,
Makofi ya usoni yatamhusu PAMBAFU ZAKE,