Recent content by itembe bhokombe

  1. I

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Chelsea mkiruhusu kufangwa game ya liverpool mjue mnaweza maliza wanne kwenye ligi kuu kuweni makini maana inaokana mnajua kukamia bigi mechi tu na kufungwa na ndogo! Tunza maneno haya Na huyo moureen wenu anayemdharau mr bean(wenger) asipoangalia huyo mr bean ataonekana mwenye mafanikio msimu...
  2. I

    Warioba; Hasira zako usizitumie kuibomoa nchi

    WanaCCM wengi mnaompinga Warioba mnakosea sana hasa mkijidanganya na feki IDs! Hamjiulizi inakuweje mapendekezo kutoka kwenye mihili ya serikali ilipendekeza serikali tatu mfano Ofisi ya spika,Ofisi ya waziri mkuu,Ofisi ya makamu wa Rais na nyingine nyingi Nafikiri hata ofisi ya Raisi ingetoa...
  3. I

    Wanaume wa Kikurya tunajua kupenda

    Bha mura bha weto amang'ana? Excel usitumie nguvu nyingi walionasa kwa vijana wa kikirya watasema
  4. I

    Yanayojiri Bunge Maalum la Katiba leo Tarehe 7.3.2014.

    SITTA ndo habari ya mjini nasikia mlitaka wengine lakini mkasikia atachukua fomu kivyake! Baada ya hapo mkaona anakubalika wahafidhina wakaamua kumfuata baada kuona atawashinda kwa vile anakubalika sana Chezea mzee VIWANGO
  5. I

    Kazi nzuri Tundu Lissu Antipas!

    Kwa masuala ya sheria msimamo katika anachokiamini ni mzuri sana na anauwezo mkubwa, kitu ambacho kimetengenezwa na bidii zake za kusoma sana
  6. I

    Lissu amkubali Sitta

    Huu ni wakati wa kuthibitisha kama kweli anaweza na atafanikiwa hilo kwa kuweka usawa kwa wajumbe wa pande zote Akisimamia vizuri itamjenga kisiasa kwa wananchi bila kufuata itikadi za kisiasa lakini kwa wajumbe wa chama tawala ambao wanataka upendeleo fulani inaweza kumtesa kwenye mbio za Urais...
  7. I

    Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

    Me ninaona kama uongozi uliishamshitukia hivi hamjiulizi kwanini alivuliwa nafasi yake ya kuwa kiongozi wa jopo la wanasheria wa CDM na kupewa Tundu Lisu? Wakati hili linafanyika ilikuwa kipindi wakina M walikuwa wametajwa na kukiwa na mgogoro.
  8. I

    Amini usiamini Marando ndo anabomoa CHADEMA

    Marando atakuwa m2 kama ni kweli kinachosemwa
  9. I

    Orodha ya Majina ya Wajumbe wa Bunge la Katiba hii hapa

    Hii Inchi ya kisenge sana wanachaguana kwa kujuana tu ninashangaa wanachanguana kwa kujuana inakuaje wanachaguana kwa kujuana tu wasiangalie uwezo alafu wanaweka vibaraka wa kutetetea? Me mkurya kaa. Mma ua ua ua kama chacha Wangwe siogopi?nilizaliwa siku moja nitakufa siku moja watakao niua...
  10. I

    Jembe toka TARIME

    Karibu weto... mura mbuya?
  11. I

    Ikulu: Rais Kikwete hataidhinisha mabilioni ya kiinua mgongo kipya cha wabunge!

    Hakika hii Nchi sijui tumelaaniwa nashindwa kuelewa au ni maandiko yanatimia? Nyakati za mwisho watu watakuwa wakujipenda wenyewe! Maana mwalimu anayesota miaka 30 hafiki huko hawa wabunge miaka mitano tu au kwa vile wanapitisha wao?
Back
Top Bottom