Mkuu, kwa huo mshahara hapa, unaweza pata lakini usishangae kukufanyia jambo la ajabu siku yoyote, kama mshahara utaongeza mpaka 90 elfu nipigie simu kwa namba 0716863406 mimi kuna mdada yuko Singida aliniambia nimtafutie kazi za ndani, nilikuwepo huko wiki jana na jumatano naenda huko kikazi so...
Tv tajwa hapo inauzwa kwa bei ya kutupwa, dukani ni laki nane, ila anauza bei baada ya mkataba ake wa kazi kuisha na anarudi kwao india,
Kama unahitaji nipigie 0716863406 tv ipo dodoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.