Mjoa-mkoaMambo vip? Ninatafta kaz mtaani pagumu sana mm ni bint elimu kidato cha nne kwa ssa napatkana mjoa mpya wa geita ninatafta kaz ndg zangu walau nikipata pesa mwakan nirisit nimekaa home tang 2010 har ni ngum nisaidie ndgzangu
Mjoa-mkoa
Ajir-ajili
Ndgzang-ndugu zangu
Rudi kwanza karudie mtihani ndio uje utafute kazi,kuandika huwez kazi utaweza?
Hahahaha sawa mkuuuKwani amekwambia anatafuta kazi ya uandishi? Kujua kuandika na kujua kufanya kazi ni vitu viwili tofauti, huenda anatafuta hata kazi za ndani.
duh!we jamaa nomAMjoa-mkoa
Ajir-ajili
Ndgzang-ndugu zangu
Rudi kwanza karudie mtihani ndio uje utafute kazi,kuandika huwez kazi utaweza?
kwa mdomo huu ulonao.. sijui.Kwani hujaelewa mbona watu mnakuwa hvyo nyie ndo wale wenye kushaukia mipost ya mapenz isiyo na maana kama huna cha kunieleza kaa kimyaa wenyeuelewa na Busara watanijib
NB samahani endapo nimekukwaza
Utaua watu wewe uyu uumpe kazi ya kuuzia watu dawa? badala ya dawa ya maleria atakupa ARVNina duka la dawa baridi kama unaweza njoo uuze
Niko tabora
KAMA UKO TAYARI UNI PM
mkuu kwani unamjua?Utaua watu wewe uyu uumpe kazi ya kuuzia watu dawa? badala ya dawa ya maleria atakupa ARV
Kazi za ndani utafanya? Dodoma
kaka hawa walinz c lazima upitie mgambo etii auok mamii pole sana kwa kukaa sana mtaani bilashaka mtaani pagumu ila kama utaweza fanya kazi za ulinzi ktk kampuni kubwa za ulinzi ok kama kk security ,SGA nakadhalika unafanya kwa malengo then ukiona kiwango ulichokua unahitaji kwaajili ya kuristi kimefika ataandika barua ya kuomba kuacha kazi.ukihitaji nipigie 0657015929 au 0743765512
Kwa hiyo mipasho sijui!Kwani hujaelewa mbona watu mnakuwa hvyo nyie ndo wale wenye kushaukia mipost ya mapenz isiyo na maana kama huna cha kunieleza kaa kimyaa wenyeuelewa na Busara watanijib
NB samahani endapo nimekukwaza
Anachokueleza ni sahihi lakini, mfano mtu anataka kukupa kazi ambayo utakua unaandika kwa mkono au unachapa kwenye kompyuta, utafanyaje kazi wakati kuandika kwa ufasaha hauwezi?Kwani hujaelewa mbona watu mnakuwa hvyo nyie ndo wale wenye kushaukia mipost ya mapenz isiyo na maana kama huna cha kunieleza kaa kimyaa wenyeuelewa na Busara watanijib
NB samahani endapo nimekukwaza
Hahahahaha,msaidien Tu coz huo mdomo hata sisimiz wanaokwa mdomo huu ulonao.. sijui.