Ajira: Mdada Wa Kazi

Ajira: Mdada Wa Kazi

Mshahara wa THS 50,000.00 ni mdogo halafu mnategemea mtoto hivi kazi za nyumbani puls za mtoto jamani ni nyingi mno. Ni vema ukasikiliza ushauri wa wachangiaji as kwa kweli THs elfu 50ni ndogo kwa kweli!
 
Mkuu, kwa huo mshahara hapa, unaweza pata lakini usishangae kukufanyia jambo la ajabu siku yoyote, kama mshahara utaongeza mpaka 90 elfu nipigie simu kwa namba 0716863406 mimi kuna mdada yuko Singida aliniambia nimtafutie kazi za ndani, nilikuwepo huko wiki jana na jumatano naenda huko kikazi so kama utakubali ombi lake hilo kuhusu malipo tuwasiliane tufanye taratibu za kumsafirisha,
NB: Ni mtu mzima anaejielewa approx ni miaka 23-24
 
Habari wanajamvi
Natafuta mdada wa kazi,

Sifa/Majukumu:
*Awe mwenyeuhitaji wakazi
*Athamini kazi yake na hasi-ifanye kwa mazoea,siku zote.
*Mchapakazi
*Ajue kupika vyakula mbali mbali na kuaanda juisi/maji safi ya kunywa.
*Awe Msafi binafsi na msafi wa nyumba
*Awe msikivu,muelewa na asiwe mtu wakuzurula au ushirika na watu pasipo nasababu za msingi.
*Ajue kusoma na kuandika
*Awetayari kufanya kazi kwa muda wa zaid ya miaka miwili.
*Asiwe mtu wa magenge/maneno na porojo.

Mazingira ya kazi:
*Eneo😀ar Es Salaam,Mbezi Beach
*Nyumba wanaishi mke na mume(vijana)
*Uwezekano wa mtoto siku za mbele,hivyo awe tayar kusaidia katika shughuli za hapa na pale zinazohusiana na mtoto.

Mshahara:
*Elfu hamsini Kwa Mwezi

Kwa mwenye ndugu au jamaa au anayepatikana humu,na ana uhitaji naomba ani-PM.


Mitaa ya Mwananyamala B kuna wahaya wengi tu wanatafuta kazi za ndani haswa beki 3 wa kiuhalali, na pale Sinza kuna kila aina ya makabila wanataka kuwa wadada wa nyumbani/beki tatu kwani siku hizi hakuna hela tena za wizi serikalini na njaa kali. Fika tu Sinza au Mwananyamala B muda wowote, utaona wadada wamekaa kihasara hasara kukimbilia wanaume ili waajiriwe. Lakini hapo kwenye mshahara, naona ungeongeza kidogo kwani wenzako wanapata hizo 50,000 kwa masaa (siku) kama msimu ni mzuri.
 
Mshahara wa THS 50,000.00 ni mdogo halafu mnategemea mtoto hivi kazi za nyumbani puls za mtoto jamani ni nyingi mno. Ni vema ukasikiliza ushauri wa wachangiaji as kwa kweli THs elfu 50ni ndogo kwa kweli!
Asante Mwana kwa ushauri,tutautafakari
 
Mkuu, kwa huo mshahara hapa, unaweza pata lakini usishangae kukufanyia jambo la ajabu siku yoyote, kama mshahara utaongeza mpaka 90 elfu nipigie simu kwa namba 0716863406 mimi kuna mdada yuko Singida aliniambia nimtafutie kazi za ndani, nilikuwepo huko wiki jana na jumatano naenda huko kikazi so kama utakubali ombi lake hilo kuhusu malipo tuwasiliane tufanye taratibu za kumsafirisha,
NB: Ni mtu mzima anaejielewa approx ni miaka 23-24
Asante sana mkuu,sema kwa sasa hiyo ndio budget tunayoimudu.
 
Mitaa ya Mwananyamala B kuna wahaya wengi tu wanatafuta kazi za ndani haswa beki 3 wa kiuhalali, na pale Sinza kuna kila aina ya makabila wanataka kuwa wadada wa nyumbani/beki tatu kwani siku hizi hakuna hela tena za wizi serikalini na njaa kali. Fika tu Sinza au Mwananyamala B muda wowote, utaona wadada wamekaa kihasara hasara kukimbilia wanaume ili waajiriwe. Lakini hapo kwenye mshahara, naona ungeongeza kidogo kwani wenzako wanapata hizo 50,000 kwa masaa (siku) kama msimu ni mzuri.
utakuwa ujaelewa tangazo mkuu,mtu ninayemtafuta na sifa zake...kuhusu bei,kila mmoja huwa na bei yake,kwa kizungu wanasema "everyone has price"
 
unakuta mtu kama wewe hunakazi...
let me give you one principle, everyone has price...so ukioni wewe haikufit,piga kimya!
mkuu tufanye kitu kwa uhalisia mshahara wa elf50 wewe ungefanya, umuhimu wa dada wa kazi ni mkubwa sana lakini hatuwathamini, kama walimu vile
 
siku ukifanana avatar yako...njoo ucomment each thread and reply wakuone vizuri...unao watafuta!


HA HA HA A kwa raha zangu na ndio naendelea kama ifuatavyoo....
 
Hahahahaha !!! Jamaa mwenyewe majibu yake tu anaonekana mbabe sasa mtoto wa watu atapona makofi
 
Asante sana mkuu,sema kwa sasa hiyo ndio budget tunayoimudu.
Kama una budget ndogo achana na maisha ya wenye budget kubwa.
Komaa mwenyewe uwe unafanya hizo kazi, haihitaji mfanyakazi wakati hauna watoto, mifugo nk.
Achana na maisha ya kuiga/kuigiza
 
mmmh, mdd wa kazi family ndogo ivo au unataka achoropoe bwana wako ndo ufurah
 
Back
Top Bottom