Benjamin mathayo
Senior Member
- Mar 6, 2016
- 112
- 30
Ofic yako iko wapi mkuu
Lte au LTE ni aina ya Forth Generation(4G) mobile communications standard. (yenye internet speed ya ukweli)Please naomba direction ya dukani kwenu iliniweze kuja.
Halafu, kuna mdau ameuliza kuhusu lte, je, lte ni nini.??
Jina la duka linaitwaje?Lte au LTE ni aina ya Forth Generation(4G) mobile communications standard. (yenye internet speed ya ukweli)
"Watumiaji wa simu zenye LTE 4G network wanafaidika na data speeds ambayo ni up to 10 times faster zaidi 3G network ya sasa "
Simu nying za kisasa hasa zinazopatikana kupitia South Afrika ni LTE. na ndio best smartphones.
# SASA unachotakiwa kufanya ni kujipatia smartphone ya ukweli ya Lte kutoka kwangu kwa bei pouwa kabsa(me ni vunja bei). then unaenda kubadili line yako upewe inayosapoti 4G network araf unaanza kufaidi internet speed ya ukweli mwanzo mwisho#
Mimi napatakana Kkoo, ukifika kariakoo sehemu yoyote piga simu #0654776976.utaelekezwa na utafika kwa urahis dukani au utafuatwa ulipo na kuletwa dukani...pia kwa asiyeweza kufika anaweza kuletewa mzigo popote alipo kwa kuchangia gharama kidogo tu ya usafiri( boda boda).
Ninazo Simu mbali mbali za kisasa na zote ni Lte nauza kwa bei chee tu kila mtu afaidi. Karibuni saana.
vunja BEI. 0654776976.
Lg g4 pro bei ganiHapana chief zilikuwepo mbili zimeisha...sasaiv nimebak na LG G4 stylus na LG G4 pro. Nichek next week mzigo utakuwa ushaingia, 0654776976
Samsung edge unayoBrand new Samsung Galaxy S5 LTE, waterproof, Gold color 16GB For Sale, comes with all accessories.
#0654776976# pia kuna s6 edge 64GB, iphone 6s gold 64GB, na smartphones nyingne za kisasa za kisasa kwa bei pouwa. maelewano yapo.
# Price 480000
![]()
![]()
![]()
![]()
Mkuu Nahitaji Display ya Samsung S5 SM-G900H...mate 8 imebak moja ya gold color nitakuuzia 900k tu mkuu