Recent content by itara

  1. itara

    Jinsi ya kuwa jasusi wa kujitegemea; Na itakavyokusaidia katika Maisha yako ya kila Siku hasa kiuchumi na kijamii

    Well summerized...hivi hii jf huko mbeleni itakuwa na AI yake ....
  2. itara

    Safari ya miaka 9 tangu kuacha kazi. Hamasa kwa vijana wenye maono makubwa

    Afua za afya za akili zinatakiwa sana ....hasa kwa kipindi hiki cha ukomavu wa sayansi na teknolojia...
  3. itara

    Nje na Uchungaji, Tony Kapola anafanya biashara gani ya kumpa utajiri?

    Taasisi zetu zimefumba macho.
  4. itara

    Tuliopitia Vita Na Chuki Makazini Tushirikishane Hapa

    Duh nimesoma comment zote bila uchovu..kuna vitu vingi najifunza kuhusu maeneo ya kazi kuna taasisi naona ni bora iongezewe majukumu kuliko kujikita kwenye afya na usalama mahala pa kazi basi ifikie ba huku..
  5. itara

    Mikasa/vituko vya lodge

    Aisee hata pale segera kuna lodhe ya hivyo, kitanda kina tailizi kabisa sema hakina uvungu
  6. itara

    Kiasi cha oxgen Kiko chini

    Pole sana kwa tatizo ulilonalo.. Niliwahi kushauriwa nikiwa na mgonjwa wangu kuwa ajaribu kufanya mazoezi ya kupumulia kwenye mapulizo...yaaani kulijaza kwa kupuliza kila mara..
  7. itara

    Wapi niweke vya kukaa na wapi niweke vya kuchuchumaa

    Weka vyote pote... mtu ndio aamue mwenyewe ku chuchumaa au kukaa
  8. itara

    January Makamba: TANESCO sasa wamesitisha miradi ya ujenzi wa maofisi na kuelekeza fedha kukarabati miundombinu ya Ugavi

    Walivyotishiwa biashara ziliendelea na kodi zilikusanywa na faida tulipata, kwa hali ilivyo sasa ni hasara...samaki, upatikanaji wa huduma muhimu kama ashine ya ku pampu maji nk ni shida
  9. itara

    Faida na hasara za uhamasishaji wa Mwijaku Simba

    Lopolopo[emoji1]
  10. itara

    SoC01 Tahadhari: Biashara za mtandaoni ni chanzo cha umaskini

    Basi wakati naanza kuusoma uzi nilijua ni hizi biashara za instagram na facebook au jiji kumbe ni hizi za bahati nasibu
Back
Top Bottom