Whitepanther
JF-Expert Member
- Sep 27, 2021
- 289
- 456
Hiyo mifupa inashangaza hapo tumepigwa taarifa gongana hileWanasayansi wa bongo ni bure kabisa yaani ni empty set ,jana maTV yote yameonyesha kwamba wamegundua mifupa ya mjusi iliyoishi miaka milioni 160 hahaaaaa ukiangalia hiyo mifupa ni kama jiwe lilitokana na zege,mfupa ukae miaka milioni 160 halafu utoke kama jiwe hahahaaaa nonsense.
Hapo wakija wazungu hapo rombo watatoa report sahihi lakini hao ma geologist wabongo wanaenda kupiga perdiem tu.
Sent using Jamii Forums mobile app