Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 18,673
- 40,638
Watulie tuu hatutaki habari ndogo kukuzwaYani utashangaa TMAA pia kutoa tamko.
Watulie tuu hatutaki habari ndogo kukuzwaYani utashangaa TMAA pia kutoa tamko.
Ila huu upepo mkubwa hata siku kadhaa za mchana ulikuwepo ila kwa sasa umepunguaTulio nchi kavu tukiona hali kama hii hatujifikirii zaidi sisi bali tunawaza kwa ndugu na jamaa wanaofanya shughuli majini(baharini) & pamoja waishio karibu na fukwe itakuwaje.
Si mpaka madhara makubwa yatokee ndio uanze kuona ni jambo kubwa.
HahaahaWanaume wa Dar bhana, upepo kidogo tuu na manyunyu imeshakuwa habari kubwa
All in all Kwa hizi siku kadhaa kumekua na upepo Sana dar es salaam kuliko MIAKA yote....Wanaume wa Dar bhana, upepo kidogo tuu na manyunyu imeshakuwa habari kubwa
Heri madeni waweza kubadilisha njia au kuzima simu. Usiombee kulala wakati hujui kesho unaachaje familia na unafikaje kazini. Unajikuta unaichukia hadi net inayozuia mbu. usiku mzima unahesabu vitu unavyoweza kuuza upate unga.Hakika
Madeni yanaondoa usingizi kabisa
Huwa nazikumbuka Sana hizi moments....zina nifanya ni work hardHeri madeni waweza kubadilisha njia au kuzima simu. Usiombee kulala wakati hujui kesho unaachaje familia na unafikaje kazini. Unajikuta unaichukia hadi net inayozuia mbu. usiku mzima unahesabu vitu unavyoweza kuuza upate unga.