Jamani hii awamu hii imekuwa ya kihaya Sana. Kuanzia chini mpaka juu wote kick. Kama radio mawingu. Jana hakuna kuuza samaki nje leo wanauza nchi Tena Burundi... Hahaha nchi ya wahaya
Chezea Magufuli mwenye chembe chembe ya uhaya. Mwendo wa kutengeneza kick na kudeal na vyombo vya habari mpaka mkome mwaka huu. Raisi Hana tofauti na kutafuta kick kwenye magazine kama wema sepetu
Haaah haaah ccm maigizo yenu kama tamthiria ya kihindi yenye uwezo wa kubeba hisia. Haaah haaah mkuu wa nchi ndio yuko salama haaah hivi punguzo LA mishahara ya kutoka million 40 mpaka 15 zinaenda wapi vile au ujenzi wa Bara Bara za mwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.