Basi hongera kuna watumiaji wa simu na watunza simu, inawezekana ww ni mtunza simu tu, kwa maana mwingine 24hrs yupo online.
Ukisema simu inatunza chaji sijui unatumia kigezo gani mfano, kupiga na kukata au nn
Mbona wanachelewa nikajua wamesha lipua, uzuri ni sehemu ya kuabudia nina imani hata mabomu yakifika tu yatazimika na kuanguka yenyewe kama matawi ya miti kimiujizaaaa
Hata mtu anae sema mabaya ya marehemu nae ni kilaza unaweza kuta aliferi darasa la 4,
Bora hata huyu genius aliacha historia ya kubishana humu sasa wengine wanaacha comment Jf tu hapa
R.I.P E KIHONDA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.