Recent content by Isotonic

  1. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Musoma: Polisi Wawatawanya kwa Mabomu ya machozi BAWACHA

    Si nasikia leo ni siku yao Duniani imekuwaje watu wanasherekea kwa mabomu badala ya vigele gele
  2. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Basi hongera kuna watumiaji wa simu na watunza simu, inawezekana ww ni mtunza simu tu, kwa maana mwingine 24hrs yupo online. Ukisema simu inatunza chaji sijui unatumia kigezo gani mfano, kupiga na kukata au nn
  3. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Tuone uchi wenyewe, Maneno bila ushahidi ata ka picha ni umbea tuu wachie warumi na akina cocostics
  4. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Nilivyonusurika Kifo baada ya Mzee kunitimua Nyumbani

    Ok sawa
  5. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Kisa umekaa nayo miaka 7 unasifia kuwa inakaa na chaji, Tafuta hela hata kama utasema unazo zitakuwa za mashariti
  6. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

    Sawa tu kama huku watu wanaridhishana kiti cha uraisi kwani wao wakifanya kuna shida ?
  7. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Iran yatishia kuilipua Al Kaaba Endapo Saudi Arabia Itaendelea na Msimamo wake

    Mbona wanachelewa nikajua wamesha lipua, uzuri ni sehemu ya kuabudia nina imani hata mabomu yakifika tu yatazimika na kuanguka yenyewe kama matawi ya miti kimiujizaaaa
  8. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Milion 500 sio makalio, saivi usingekuwa busy kutupigia kelele za nn cha kufanya
  9. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Iran Imethibitisha Kuwa Kiongozi Mkuu, Ayatollah Ali Khomeini ameuawa

    29 oct mngekuwa hivi kwa kuripot hakika nchi isinge chafuliwa
  10. Isotonic

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwanamke mwenye miaka 30+ hujaolewa unasubiri nini?

    Huwezi jua anasubilia menopause ifike ndo aolewe
  11. Isotonic

    JamiiForums Tanzania TO wa mwaka 2006 kidato Cha sita anatrend mitandaoni baada kufariki 2020

    Hata mtu anae sema mabaya ya marehemu nae ni kilaza unaweza kuta aliferi darasa la 4, Bora hata huyu genius aliacha historia ya kubishana humu sasa wengine wanaacha comment Jf tu hapa R.I.P E KIHONDA
  12. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Kiuhalisia kabisa Elias Kihombo yupo overrated, anakuzwa na alijikuza mno ila alikuwa wa kawaida sana

    R.I.P marehem hasemwi kwa mabaya, tunamsema kwa mazuri genius wetu wa taifa
  13. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Watz walivyo busy kuripot taarifa za iran utadhani 29 oct walikuwa Afghanistan
  14. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Zamani sana futures zake ndo walihamishia S series ultra, mfano pen
  15. Isotonic

    JamiiForums Tanzania Full Time: Dodoma Jiji 0 -0 Simba SC | NBC Premier League |Jamhuri Stadium| Februari 25,2026| Saa 1:15 Jioni

    Qmmke hapa hamna ubingwa labda 2030
Back
Top Bottom