Recent content by Isoliwaya

  1. I

    LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

    saaafi sanaaaa timu ya wananchii (Dar es Salaam Young Africans)
  2. I

    LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

    mkuu Balatanda je waweza tupia list ya vijana humu jamvini? maana wakuu wengine tupo mbali sana ya tv. Halafu hii timu yangu ya wananchi (Yanga) kiwango chake cha leo kikoje?
  3. I

    LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

    toeni list ya yanga wakuu
  4. I

    ISRAEL v/s IRAN.

    Nafikiri hulijui taifa la israeli, ki ukweli israel inaweza pigana na taifa lolote lile duniani bila ya msaada wowote kutoka kwa taifa lolote lile. Israel ni taifa teule na ni taifa la mungu
  5. I

    Who should be the president of East Africa? Go ask the taxi drivers!

    Yes he is going to be the president of rwanda, kenya and uganda. But us in tanzania, and burundi we dont need him as a president and we hate him with passion
  6. I

    Museveni accuses ICC of mishandling Kenya cases

    Let the ICC decide if they are innocent or guilty. M7 should stop these propaganda and speculation which might spoil the judicial process
  7. I

    Padri Mapunda: Siogopi tindikali, kung'olewa meno au kupigwa risas, Ccm watang'oka 2015!

    big up sana father Mapunda. Waambie ukweli mtupu kwakuwa ukweli pekee ndio utatuweka huru . CCM waache propaganda eti kusema Tanzania ni kisiwa cha amani. amani gani bwana? watu wana utulivu na sio amani kwasababu hali ya maisha ya watanzania ni mbaya sana na nchi yetu inakila rasilimali...
  8. I

    Natafuta training za riadha

    Alternatively, njoo huko kenya nikupeleke Eldoreti kwa wazee wa rift valley watakupa mafunzo ya mbio na utakuwa imeivaa kiasi cha kutosha
  9. I

    Tuyatafakari maneno mazito ya dr. Kigwangalla(mb) kwa Job Ndugai (naibu spika)

    Huu ni upumbavu na uppuzi mwingine wa Kigwangalla na Job Ndugai. Nchi yetu ni masikini kwasababu ya tafakari za kijinga kama hii ya kigwangalla. Hakika kigwangalla na Job Ndugai wanastahili kutupwa Jehanam
  10. I

    Mrema: Mimi si kibaraka wa CCM

    Duu Mkuuuu wewee ni kiboko hii imenivunja mbavu zanguuu, kwani hizo condom alikuwa anaenda kuzitumia kwenye mkutano wa kampeni? Sasa ninajua kwanini huyo jamaa anakuwa anaumwaumwa lazima atakuwa amekanyaga gridi ya taifaaaa
  11. I

    Museven hata wewe?

    wakuu kwakweli inasikitisha sana kwa jinsi nchi yetu ilivyotengwa na kudharauliwa kiasi hiki. Lakini mimi ninafikiri kuwa hakuna jambo linalotokea pasipo sababu maaalumu. huwezi kujua mungu anatuepusha na kutupangia nini huko mbele, labda ndio njia pekee kabisa ya sisi kujifunza na kuacha...
  12. I

    Onyo kwa yanga

    Ni kweli mkuu umenena vema Yanga wanatakiwa wawe makini na hujuma zote zinazotolewa na marefa. Kwa mfano jana yanga walihujumiwa na refa ambae aliwaacha costal union wacheze rafu za makusudi na hivyo kuharibu ladha ya mchezo
  13. I

    August 28, 2013: Yanga vs Coastal-Taifa | Rhino vs Azam-Tabora | Simba vs JKT Oljoro - Arusha!

    mkuu inamaana kubana sana kwa coastal kunamaanisha ni wazuri kutuzidi au ni kwanini mpaka sasa chama halijapata bao?
  14. I

    August 28, 2013: Yanga vs Coastal-Taifa | Rhino vs Azam-Tabora | Simba vs JKT Oljoro - Arusha!

    Umesahau kuongezea Tahiti katika hiyo list ya nchi ambazo simba watapata mmbadala wa kimba'deni
  15. I

    Ratiba ya Ligi Kuu Bara ni kichekesho

    wanafikiria kwa kutumia ma------iiiii
Back
Top Bottom