ha ha ha kuna siku tulikuwa tuko kwenye kampeni zake za uraisi niliambana naye tukiwa njiani sanduku lake likadondoka kutoka mahali lilipo kuwa vitu vyake vikamwagika tulicho shuhudia ni wingi wa condom alizokuwa nazo kwenye bag yake watu walicheka sana.
Huyu mrema ni majanga na alikuwa anasema anajua awezi shinda uraisi na hata ikitokea ameshinda anajua awezi pewa uraisi
Na anashambuliwa nusu uwanja!!Jamani tumwache huyu Mzee anacheza fainali yake
mrema ni ccm
Leo hii baada ya kiongozi wa upinzani bungeni mh Mbowe kutolewa nje, akichangia bungeni amesema yeye si kibaraka wa CCM kama watu wanavyodhani na kuwasema sana CHADEMA kwa vitendo vyao vya kutoka nje.