Gooooooooooooooallllllllll
Mbuyu Twite balaa...
Mpira wake wa kurushwa ndo umesababisha goli
Mpwa hawa Azam na Mbeya city wangetoa droo leo kileleni
mkuu Balatanda je waweza tupia list ya vijana humu jamvini? maana wakuu wengine tupo mbali sana ya tv. Halafu hii timu yangu ya wananchi (Yanga) kiwango chake cha leo kikoje?
Tutakaa kileleni kwa muda tukisubiri mechi ya kesho Azam akicheza na Ruvu Shooting
kwani mechi imeisha? au umesahau zile 3 zilivyo rudi?
Hahahahahahahaha.Hii ya Yondan ni red card