LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

LIVE UPDATES:: Yanga V JKT Ruvu, UWANJA WA TAIFA.

Msuva anakosa goli la wazi...

Dogo mpuuzi sana huyu...No wonder mashabiki wa Yanga wanamzomea sana!
 
Simba jana wameonyesha mpira wa mchangani.
 
Leo nilikuwa ninacheza drafti na jamaa mmoja mshabiki wa Simba nikamtangulia kumfunga, baadaye akasawazisha ikawa 1-1 basi jamaa alishangilia sana furaha ilipitiliza mpaka akang'oa viti
 
mkuu Balatanda je waweza tupia list ya vijana humu jamvini? maana wakuu wengine tupo mbali sana ya tv. Halafu hii timu yangu ya wananchi (Yanga) kiwango chake cha leo kikoje?
 
Mbuyu Twite balaa...

Mpira wake wa kurushwa ndo umesababisha goli
 
Back
Top Bottom