mleta uzi sikia, kama ningelikuwa m7 ningelijiweka ktk nafasi hiyo aliyohamua kujiweka no matter what tanzania did for him! Tanzania ya sasa imepadilika sana....wewe unajua what has been going around since mwl died....lakini pia ktk mlinganyo wa haki, 'interests' za m7 ktk congo ni kubwa kuliko alizonazo tanzania. Nashauri watanzania wahache kuendeshwa na mhuemko wa uzalendo na badala yake waongozwe na hekima na busara kwa kila jambo zaidi ktk masuala yenye faida. Kabla yakuingilia migogoro yoyote razima tupime faida na hasara za kujiingiza kwetu.
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
Pili wakati akiwa katika harakati za kumng'oa Idd Amin Dada. Huyu alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mwl Julius Kambarage Nyerere, bila shaka hata yeye alimpenda sana Mwalimu kwani aliunga mkono jitihada zake za kuikomboa Uganda. Museven amekuwa na ndoto za kuja siku moja kuwa Rais wa kwanza wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ili aje atawale Afrika Mashariki inabidi awepo madarakani hadi hapo akichaguliwa, hii imebidi ageuke kama dictor nchini kwake kwa kitendo chake cha kubadilisha vipengele vya katiba ili kumwezesha azidi kuwepo madarakani. Hilo sisi kama Watanzania halituhusu.
Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.
Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!
Simlaumu mseveni, KIKWETE amejisahau sana, kila siku yeye ni kiguu na njia tuu mara ulaya, mara asia mara marekani, hatumsikii akifanya ziara ya kikazi kenya, uganda au burundi na rwanda. Wakati wenzie wakitembeleana, yeye ni kujipendekeza tu kwa white people. Mtu wa namna hiyo unategemea watamfanyaje?? anafurahia coridor za Wazungu kiliko rest room za waafrica wenzie.
Kama jirani yako kila siku anashinda mtaa wa saba, kwako haji, akitembelewa na watu wake wa mtaa wa saba anakutambia weee,Huduma unazopata kwake mbovu..utafanya nini??? UNAACHANA NAE NA KUUNGANA NA WENYE NIA KAMA YAKO..FAST JET anatulostisha SANAAAAAAA.
Yaani waone wivu kwa ajili ya mikutano ambayo hata tija yake siioni, emotions zisituondolee uwezo wa kufikiriWanamuonea wivu kwa sababu jk hafungamani na upande wowote. Anahudhuria mikutano ya g8,un,etc sasa wao kutwa wamo 2 kwenye nchi zao nialiko kidogo ya kwenda nje
Ardhi ya Tanzania walioitaka sana pindi tungekubali kipengele cha ardhi kuwa huru kwa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kumilikishwa imewauma sana. Kwetu sisi tutulie kama tulivyo, hakuna marefu yasiyo na ncha.
Nashukuru sana Mkuu ebaeban kwa maelezo mazuri ya kihistoria ambayo yanaashiria kwamba hata kabla Yesu Kristo usaliti ulikuwepo tena nadhani huo ulikuwa usaliti wa kikatili sana, maana angalau huu wa Museveni unahuruma kiasi maana anajificha sura kwa pama lake.
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
.
Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.
Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
Pili wakati akiwa katika harakati za kumng'oa Idd Amin Dada. Huyu alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mwl Julius Kambarage Nyerere, bila shaka hata yeye alimpenda sana Mwalimu kwani aliunga mkono jitihada zake za kuikomboa Uganda. Museven amekuwa na ndoto za kuja siku moja kuwa Rais wa kwanza wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ili aje atawale Afrika Mashariki inabidi awepo madarakani hadi hapo akichaguliwa, hii imebidi ageuke kama dictor nchini kwake kwa kitendo chake cha kubadilisha vipengele vya katiba ili kumwezesha azidi kuwepo madarakani. Hilo sisi kama Watanzania halituhusu.
Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.
Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
Pili wakati akiwa katika harakati za kumng'oa Idd Amin Dada. Huyu alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mwl Julius Kambarage Nyerere, bila shaka hata yeye alimpenda sana Mwalimu kwani aliunga mkono jitihada zake za kuikomboa Uganda. Museven amekuwa na ndoto za kuja siku moja kuwa Rais wa kwanza wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ili aje atawale Afrika Mashariki inabidi awepo madarakani hadi hapo akichaguliwa, hii imebidi ageuke kama dictor nchini kwake kwa kitendo chake cha kubadilisha vipengele vya katiba ili kumwezesha azidi kuwepo madarakani. Hilo sisi kama Watanzania halituhusu.
Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.
Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!