Museven hata wewe?

Museven hata wewe?

Kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu. Wahenga wakisema tenda wema benda zako.... so ingekuwa kusubiri shukurani basi ni mataifa machache sn ambayo yasingeishukuru tz..,...
 
mleta uzi sikia, kama ningelikuwa m7 ningelijiweka ktk nafasi hiyo aliyohamua kujiweka no matter what tanzania did for him! Tanzania ya sasa imepadilika sana....wewe unajua what has been going around since mwl died....lakini pia ktk mlinganyo wa haki, 'interests' za m7 ktk congo ni kubwa kuliko alizonazo tanzania. Nashauri watanzania wahache kuendeshwa na mhuemko wa uzalendo na badala yake waongozwe na hekima na busara kwa kila jambo zaidi ktk masuala yenye faida. Kabla yakuingilia migogoro yoyote razima tupime faida na hasara za kujiingiza kwetu.

dawa yenu inachemka, mungu alishawalaani suku nyingi.
 
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
Pili wakati akiwa katika harakati za kumng'oa Idd Amin Dada. Huyu alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mwl Julius Kambarage Nyerere, bila shaka hata yeye alimpenda sana Mwalimu kwani aliunga mkono jitihada zake za kuikomboa Uganda. Museven amekuwa na ndoto za kuja siku moja kuwa Rais wa kwanza wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ili aje atawale Afrika Mashariki inabidi awepo madarakani hadi hapo akichaguliwa, hii imebidi ageuke kama dictor nchini kwake kwa kitendo chake cha kubadilisha vipengele vya katiba ili kumwezesha azidi kuwepo madarakani. Hilo sisi kama Watanzania halituhusu.

Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.

Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!

Kuliko kumfadhili mwanadamu mfadhili mbuzi utamla nyama!
 
Ndio maana wazungu hawapigani vita za kijinga wala kuunga mkono viongozi bila kwanza kuangalia maslahi yao ni nini. Ukiona wameanza vita jua kuna mafuta, gesi au wanamlinda yule ndugu yao wa damu aliyepo wa mashariki ya kati. Hujawahi kujiuliza inakuwaje Saudi Arabia inayoongozwa kifalme na ambayo haina uchaguzi wa kidemokrasia na hata wanawake hawapigi kura ni mshirika mkubwa wa Marekani wakati Iran yenye uchaguzi wa kidemokrasia ni adui namba moja wa hawa jamaa? Mbona hatuoni mzungu Mogadishu akipambana kuwaokoa wananchi wa kule?

Nchi na wanasiasa wakubwa huwa wana maslahi ya kudumu na sio marafiki wa kudumu. Ndio maana Sadam Hussein aliyekuwa kipenzi wa nchi za magharibi huko nyuma aligeukwa na kubamizwa pale alipoonekana kwenda kinyume na maslahi yao hasa pale alipodhani kuwa anaweza kuingia kuwait tu na kuchukua visima vya wakubwa halafu wamwangalie tu.
 
Simlaumu mseveni, KIKWETE amejisahau sana, kila siku yeye ni kiguu na njia tuu mara ulaya, mara asia mara marekani, hatumsikii akifanya ziara ya kikazi kenya, uganda au burundi na rwanda. Wakati wenzie wakitembeleana, yeye ni kujipendekeza tu kwa white people. Mtu wa namna hiyo unategemea watamfanyaje?? anafurahia coridor za Wazungu kiliko rest room za waafrica wenzie.

Kama jirani yako kila siku anashinda mtaa wa saba, kwako haji, akitembelewa na watu wake wa mtaa wa saba anakutambia weee,Huduma unazopata kwake mbovu..utafanya nini??? UNAACHANA NAE NA KUUNGANA NA WENYE NIA KAMA YAKO..FAST JET anatulostisha SANAAAAAAA.

huwezi kutoka chumbani kwako ukaenda sebuleni kwako halafu ukasema umeenda kutembea kwa jilani huko ni kujidanganya.
 
Babu M7 anaona mna muwekea usiku tu wakati umri umekimbia na yeye anataka kua Rais mteule wa E.A Federation, kampata na mwenzie mwenye ndoto kama zake PK itakua kaahidiwa umakamu wa Rais and if possibly Urais wa E.A, Uhuru nae akaona hapa atapiga bingo ndefu akijiunga nao, basi wamekutana wenye Interest zinazoendeana waache waende alaaa!!!
 

Ardhi ya Tanzania walioitaka sana pindi tungekubali kipengele cha ardhi kuwa huru kwa wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kumilikishwa imewauma sana. Kwetu sisi tutulie kama tulivyo, hakuna marefu yasiyo na ncha.

Nashukuru sana Mkuu ebaeban kwa maelezo mazuri ya kihistoria ambayo yanaashiria kwamba hata kabla Yesu Kristo usaliti ulikuwepo tena nadhani huo ulikuwa usaliti wa kikatili sana, maana angalau huu wa Museveni unahuruma kiasi maana anajificha sura kwa pama lake.

wakuu kwakweli inasikitisha sana kwa jinsi nchi yetu ilivyotengwa na kudharauliwa kiasi hiki. Lakini mimi ninafikiri kuwa hakuna jambo linalotokea pasipo sababu maaalumu. huwezi kujua mungu anatuepusha na kutupangia nini huko mbele, labda ndio njia pekee kabisa ya sisi kujifunza na kuacha utaratibu wetu wa sasa wa kutotunza rasilimali za taifa na kuwaachia wageni wakichuma uchumi wetu na sisi tukiwa busy kuuza madawa ya kulevya. Hakika kutengwa huku kutatufanya tuwe watu wamoja na tutafuta njia nyngine za kuimarisha uchumi wetu. Tanzania tuna kila rasilimali ni suala la uongozi tu na matumizi yasiyo ya lazima ya serikali yetu. \
dhambi hii ya kujitenga maadamu si sisi tuliowatenga hakika sisi tutabaki salama ila wao hiyo dhambi itawatafuna tu
 
Kwanini kuandikia mate na wino upooo!! Tanzania imecheza role yake, siku zote taifa letu huwa wa kwanza kujitolea na huu utamaduni sii geni humu. ukweli kila mtazamo hua una gharama yake. La msingi na muhimu ni kujitosheleza na kujipanga humu nchini ili tuUkuze uchumi wetu na tujikimuu ndani soko letu, kwani idadi ya 45million ni mzigo tosha kwa taifa. Siasa yetu nyeti "Nyumbani kwanza" Majirani baadayeee.
Together we stand.
 
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
.

Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.

Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!

Watanzania tunajihujumu wenyewe - Kiswahili mingi (porojo), vitendo kidogo vilivyoambatana na uswahiliuswahili. Hata Baba wa Taifa angekuwa hai leo hii asingefurahishwa na uswahili huu uliopitiliza. Sasa bahati iliyoje, tumepata punda wa kumtwisha mzigo wetu (mwendelezo wa uswahili)!!!!
 
Usilalamike sana kijana, hao wanaoitenga tz watakuja wenyewe na wataipigia magoti tz kwani hata wakisema waungane tz ndo nguzo yao. Kwa mfano burundi wanalishwa na tz, rwanda inategemea shamba lao lililopo kongo ambalo tz imelifunga lisitumiwe na rwanda. Uganda naye waasi wamemzidi nguvu hivyo bila msaada toka tz nchi mda si mrefu itakuwa mikonon mwa waasi, kenya nao soko lao kuu la bidhaa zao zaidi ya asilimia 60 lipo tz. Tz hatuna cha kupoteza kwa kutengwa na hao wauaji ambao kesi zipo zinaunguruma
 
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
Pili wakati akiwa katika harakati za kumng'oa Idd Amin Dada. Huyu alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mwl Julius Kambarage Nyerere, bila shaka hata yeye alimpenda sana Mwalimu kwani aliunga mkono jitihada zake za kuikomboa Uganda. Museven amekuwa na ndoto za kuja siku moja kuwa Rais wa kwanza wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ili aje atawale Afrika Mashariki inabidi awepo madarakani hadi hapo akichaguliwa, hii imebidi ageuke kama dictor nchini kwake kwa kitendo chake cha kubadilisha vipengele vya katiba ili kumwezesha azidi kuwepo madarakani. Hilo sisi kama Watanzania halituhusu.

Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.

Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!

Huko kote kwenye uchumi usidhani akili yake ipo huko. Anachotaka ni fast tracking ya political federation ili awe rais wa kwanza wa EAC. Ameishayasema mwenyewe mara kadhaa. Bila shaka atakuwa rais wa Uganda, Kenya na Rwanda. Burundi sina uhakika kama wanakubali wazo lake. Kama Kenya wataona wanapata manufaa kiuchumi bila shaka watakubali jamaa awe kama mfalme pasipo na faida yoyote kwa nchi.

Hadi mwaka 2018 ambapo wanadai reli yao itakuwa tayari, mengi yatakuwa yametokea hapo katikati.
La kwanza, je Museveni atafanikisha kumpa urais mwanaye au itabidi yeye mwenyewe aendelee. Tayari akina Tinyefunza wameisha ikimbia Uganda na inaelekea mambo si shwari sana jeshini Uganda.
La pili, je Kagame atabadili katiba ili aendelee kutawala Rwanda? Kwa katiba ya sasa inabidi ampishe mtu mwingine. Akifanikiwa kubadili katiba, wanyarwanda wengine watakuwa kimya tu?
Sipendi kutabiri lakini pia siamini kama viongozi wote hao wawili watakuwa madarakani mwaka 2018. Kama kutakuwa na mabadiliko ya uongozi, hao/huyo atayefuata/watakaofuta, wataendeleza hatua za sasa? Muda ni mwalimu mkuu wa mambo yote, tusubiri.
 
Nikikumbuka Rais Kaguta Museveni ameishi hapa Tanzania kwa kipindi kirefu
Kwanza wakati akisoma hapa UDSM
Pili wakati akiwa katika harakati za kumng'oa Idd Amin Dada. Huyu alikuwa rafiki mkubwa sana wa Mwl Julius Kambarage Nyerere, bila shaka hata yeye alimpenda sana Mwalimu kwani aliunga mkono jitihada zake za kuikomboa Uganda. Museven amekuwa na ndoto za kuja siku moja kuwa Rais wa kwanza wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, ili aje atawale Afrika Mashariki inabidi awepo madarakani hadi hapo akichaguliwa, hii imebidi ageuke kama dictor nchini kwake kwa kitendo chake cha kubadilisha vipengele vya katiba ili kumwezesha azidi kuwepo madarakani. Hilo sisi kama Watanzania halituhusu.

Kilichonisukuma kuandika "Museveni hata wewe?" ni ubaridi wa mahusiano tunaouona toka kwa Mh. Yoweri Kaguta Museveni dhidi yetu Watanzania, ameungana na vijana wadogo kumpiga mawe "Baba yake Mlezi". Tanzania ni Baba mlezi wa Rais Museveni kwani alizaliwa kiakili akiwa UDSM, ikawa asubuhi ikawa jioni Mwl Nyerere akaone ni vema akamwambia Museveni inuka mwanangu nenda hadi nchi nitakayo kuonyesha yaani Bukoba, nenda ukapige kambi hapo ukabiliane na hasimu wako Idd Amini, Museveni akaitikia ndiyo Baba, akafunga safari kuelekea Bukoba. Mwalimu Nyerere akaona ni vema ikawa jioni ikawa asubuhi Mwalimu akamwambia Museveni chukua vijana wako wa uzao wako walete hapa kambini Bukoka nao wawe pamoja nawe wakipata mafunzo pamoja nawe kumkabili hasimu wako Idd Amini.

Aliweza hatimaye kumkabili akisaidiwa na Mwalimu hadi kumng'a Idd Amini Dada, akaiongoza Uganda hadi leo. Sisi Watanzania hatuwezi kuamini kama naye ameungana na vijana kuihujumu Tanzania kwa kuitenga katika nyanja na harakati za Jumuiya ya Afrika Mashariki. Kama ndivyo basi hakika naungana na manabii wa kale waliosema "Shukrani ya punda ni mateke" Ni mateke kwanini kisiwe kichwa. Museveni umetugeuka kwa lipi sisi Watanzania??? Waache hao vijana wacheze makida makida kwa muda halafu wataelewa nini Tanzania ilivyo, wewe ungana na sisi rudi nyumbani mwa Baba yako Mlezi, Tanzania!!!

Mkuu kama Marehemu baba wa taifa angekuwepo haya anayoyafanya Museven, Kagame na Kenyata sidhani kama yangetokea kumbuka Nyerere alikuwa anakemea yote maovu yanayofanywa na viongozi wa nchi hii kwa hiyo huu mpasuko usingetokea. Tatizo hapa ni mtafaruku kati ya Kikwete na hawa viongozi wenzake na sio mtafaruku wa Tanzania na hizi nchi. na kumbuka Nyerere angekuwa hai sidhani kama Kikwete angekuwa Rais wa nchi hii Kifo cha Nyerere ni mipango yao na hapa tulipofika wametufikisha kwa makusudi yao.
 
Back
Top Bottom