Recent content by ismailyy

  1. ismailyy

    Totally bored, application inaelekea kunishinda

    Application zote za University zinafanyikia TCU.
  2. ismailyy

    Diploma kwenda Degree

    Ingien usiju
  3. ismailyy

    Kwa kidato cha nne mtakaofanya mtihani Oktoba, ukienda diploma za ufundi umeumia

    Kaiangalie Guide book 2016/2017 kwanza. Alaf ndo uje uongee ayo.
  4. ismailyy

    Kwa kidato cha nne mtakaofanya mtihani Oktoba, ukienda diploma za ufundi umeumia

    Bora waende uko rafiki yangu, ebu angalia Guide book 2016/2017 kwa watu wa science. Bila shaka utaona namna palivyo banwa. Lkn uko tyr mtu unakuwa professional sio vyeti tu bila skills.
  5. ismailyy

    Jaribuni kuwa waelewa jamani, G.P.A ya 3.5 ni ya wanaotaka kwenda vyuo vikuu

    Maelezo ya kutosha yametolewa sema we ndo sio mfuatiliaji
  6. ismailyy

    TCU mnajichanganya, angalia hapa

    We uliyepost ingia necta website uone muongozo wa kutunuku matokeo
  7. ismailyy

    AJALI: Lori laanguka katika Daraja la Nyerere(Kigamboni) jijini Dar usiku huu

    Mh alisema ata ukigonga nguzo fain lazima sas uyo sijui itakuwaje
  8. ismailyy

    Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

    We mito kwa taarifa yako hapakuwepo mwenye div IV hapo hata mmoja.
  9. ismailyy

    Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

    Inasikitisha sana kuona kitu kama hiki kinatokea. Na sisi tulioumia ni watoto wa wakulima na wafugaji kwani hakuna mzazi tajiri ambaye alikubali mwanae akasomee ualimu. Ebu jiulizeni kuhusu umaskini wa wazazi wetu na nitaprove hivi serikali ilihitaji wanafunzi 25000 ila walipatikana 2000 kwa...
  10. ismailyy

    Rais Magufuli: Wanafunzi UDOM waliofeli wakatafute vyuo vya saizi yao

    Sikikizeni niwambie pale udom, tulichaguliwa wenye I, II na III. na kwa taarifa yenu kuna watu walifauru vzr sana kuliko hata walioenda advance ila umasikin wao ndo uliosababisha kijunga na ile program. Hakuna kilaza pale wala failure hakuna.
Back
Top Bottom