Bora waende uko rafiki yangu, ebu angalia Guide book 2016/2017 kwa watu wa science. Bila shaka utaona namna palivyo banwa. Lkn uko tyr mtu unakuwa professional sio vyeti tu bila skills.
Inasikitisha sana kuona kitu kama hiki kinatokea. Na sisi tulioumia ni watoto wa wakulima na wafugaji kwani hakuna mzazi tajiri ambaye alikubali mwanae akasomee ualimu. Ebu jiulizeni kuhusu umaskini wa wazazi wetu na nitaprove hivi serikali ilihitaji wanafunzi 25000 ila walipatikana 2000 kwa...
Sikikizeni niwambie pale udom, tulichaguliwa wenye I, II na III. na kwa taarifa yenu kuna watu walifauru vzr sana kuliko hata walioenda advance ila umasikin wao ndo uliosababisha kijunga na ile program. Hakuna kilaza pale wala failure hakuna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.