ANTHONY KWEKA
JF-Expert Member
- Mar 26, 2013
- 958
- 380
Muwe mnasoma guide book vizur
Kwani guidebook inasemaje mkiuMuwe mnasoma guide book vizur
Unaendelea na application kwa kulog inDaaahh ukishatumiwa hizo password na username nini kinafuata hapo
Application zote za University zinafanyikia TCU.Hahaha! Mkuu eti NACTE wana-apply kupitia TCU?
Hizo ni Commission mbili tofauti. Moja inashughulikia kuingia vyuo vya ufundi nyingine kuingia Shahada. Japo zote zinafanya kazi moja ya kudahili wanafunzi katika vyuo mbali mbali.
Hongera kwa nia yako njema ya kutaka kumsaidia.
Le super friend.... Le Tumbo Kubwaaz nn kama LeMnyamaz?
Ndo uisome kwanzaKwani guidebook inasemaje mkiu
OkNdo uisome kwanza
Alikuwa anamaanisha level za Diploma na Certificate ambazo NACTE ndo wahusika.Application zote za University zinafanyikia TCU.