Totally bored, application inaelekea kunishinda

Totally bored, application inaelekea kunishinda

Hahaha! Mkuu eti NACTE wana-apply kupitia TCU?
Hizo ni Commission mbili tofauti. Moja inashughulikia kuingia vyuo vya ufundi nyingine kuingia Shahada. Japo zote zinafanya kazi moja ya kudahili wanafunzi katika vyuo mbali mbali.

Hongera kwa nia yako njema ya kutaka kumsaidia.

Le super friend.... Le Tumbo Kubwaaz nn kama LeMnyamaz?
Application zote za University zinafanyikia TCU.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom