Karibu tushauriane juu ya nini cha kufanya na matokeo yako ya kidato cha 6

utaratibu huu kama ni wa kweli basi ni mzuri sana coz tumerudi ktk ubora wa elimu, vipo vyuo vingi sana vya diploma
 
wakuu naombeni ufafanuzi kidogo kwa mjibu wa tangazo la tcu wanataka aliyehitimu kidato cha sita awe principle passes mbili yaani awe na D mbili, sawa na cut point 4, hivi kama una c na E na na cut point zikafika 4 chuo unaenda?
 
kwa matokeo haya ya kidato cha sita basi tutalijie vyuo vingi vikikosa wanafunzi na kubadili matumizi au vikifungwa kabisa hasa, mfano wanafunzi wengi walisoma sayansi wengi wana div.three ya ya 15 so vyuo kama SUA, BUGANDO, KCMC, IMTU, n.k vitakosa wanafunzi, na hatimaye vitafungwa na hatimaye watafugia kuku, serikali ijaribu kuliangalia hili kwa kina sana na mapana yake wasiangalie sana Arama alizopata mtu bali wa focus kwenye uwezo wa mtu.
Kwa sayansi wangeshusha hata kidogo
 
Tusubiri kitabu cha muongozo(guide book)hizo taarifa kuna mahali zimekanushwa..nashauri Usiendelee kusambaza
Endelea kujipa moyo

3db98ca3928dc7dcbf77918ba2d8b1fd.jpg
 
wakuu naombeni ufafanuzi kidogo kwa mjibu wa tangazo la tcu wanataka aliyehitimu kidato cha sita awe principle passes mbili yaani awe na D mbili, sawa na cut point 4, hivi kama una c na E na na cut point zikafika 4 chuo unaenda?
Hakuna kitu kama hcho, minimum score ni D
 
kwa matokeo haya ya kidato cha sita basi tutalijie vyuo vingi vikikosa wanafunzi na kubadili matumizi au vikifungwa kabisa hasa, mfano wanafunzi wengi walisoma sayansi wengi wana div.three ya ya 15 so vyuo kama SUA, BUGANDO, KCMC, IMTU, n.k vitakosa wanafunzi, na hatimaye vitafungwa na hatimaye watafugia kuku, serikali ijaribu kuliangalia hili kwa kina sana na mapana yake wasiangalie sana Arama alizopata mtu bali wa focus kwenye uwezo wa mtu.
Suala sio kujaza vyuo tu, ni lazima turudi kwenye misingi itakayorudisha hadhi ya elimu yetu. Kwani kuna wahitimu wangapi mitaani ambao hawaajiriki?
 
mm sio mhanga ila hii sio hak tang miaka ya tisin huko m2 ukipata EED chuo unapata tena vipaj vilikua kipindi hicho na elimu bora na sio sasa, yaan hapo wahanga ni wale watoto wa maskini kwan ndo hao walio toka ktk shule za kata zisizokua na walimu, maabara na maktaba za kutosha kaamua kujitafutia utilio pekee kwa nguv zake mwenyewe katoka na matoke ya EED hii ni div3 mnamkacha kwa mazingira yote hayo ya shida! serikali tizama hili kwa jicho kali wengne uwezo wa kusoma diploma hawana halaf leo hii unatoa lawama kwa wanafunz kwamba hawasomi KAA MKIJUA SERIKALI NDO YA KUPOKEA LAWAMA KWAN MNAPANISHA ALAMA ANGALI BADO HAMJABORESHA ELIMU MITAALA MIBOVU,MAZINGIRA, WALIMU HASWA WA SAYANSI WACHACHE DA! NAHISI HATA HAWA WALIO SERIKALINI PIA NI VIRAZA
 
Vp kuhusu masuala ya "EQUIVALENT QUALIFICATION"
mfn.Mtu ana teaching certificate na amepata DIV 3 pt 16,combination HKL =SCF GPA 3.5.

Huyu mtu atapata nafasi ya kujoin degree programme?
 
Diploma chuo gani ,ni muda gani na gharama zake zikoje mkuu???

Diploma in Animal Health and Production, Livestock Training Agency (LITA), Mpwapwa Campus. Muda ni miaka miwili ila ada kwa sasa sijui maana kila mwaka hua wanakua na fee structure ya mwaka husika wa masomo na pia mimi kwa bahati nzuri nilikua sponsored kwahiyo nilikua najitegemea chakula tu. Nadhani nimejibu.
 
Vp kuhusu masuala ya "EQUIVALENT QUALIFICATION"
mfn.Mtu ana teaching certificate na amepata DIV 3 pt 16,combination HKL =SCF GPA 3.5.

Huyu mtu atapata nafasi ya kujoin degree programme?

GPA hiyo ya 3.5 aliyonayo ndiyo inayonifanya niianze safari ya kuelekea Morogoro kwa ajili ya kuuzoea mji na kuifahamu mitaa kabla sijaanza masomo rasmi mnamo mwezi Oktoba katika chuo kikuu cha Sokoine cha kilimo (SUA).
 
"Ndo walewale" hebu funguka,utaenda SUA kwa course gani mkuu kwa hiyo GPA ya 3.5?
 
Back
Top Bottom