Muktadha wa habari ndiyo unatoa mwelekeo wa maana ya maneno yenye maana zaidi ya moja. Mathalan, mtu akiwa kwenye mazingira ya jikoni pakiendelea kufanyika maandalizi ya mapishi, akimwagiza mwanae akaletee Mbuzi, moja kwa moja fikra zitajielekeza kwenye Mbuzi chombo cha kukunia Nazi na si Mbuzi...
Mbona huyu Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti anapingana na wanaosema kwamba mikaratusi ina athari hasi badala yake yeye anahamasisha wa Tanzania kuipanda kwa wingi?
SUAMEDIA - WATANZANIA WAHIMIZWA KUPANDA MITI YA MIKARATUSI
Salamu wana JF.
Hivi huwa tuko sahihi tunavyotumea neon Maliasili kumaanisha Natural Resource au tulipaswa kutumia maneno Rasilimali Asili?
Wataalamu wa Kiswahili tafadhal
Sababu tunayo nayo ni hii:
Kwa mara ya kwanza katika historia ya Tanzania Rais wa Tanzania amekiri hadharani kuwa Tanzania siyo nchi masikini na haipaswi kuwa masikini wala kuomba misaada bali Tanzania inatakiwa kuwa inatoa misaada. Na Rais huyo siyo mwingine bali ni John Pombe Magufuli, Rais...
Wimbo huo unatakiwa ugeuzwe ubeti wa pili ndiyo uwe wa kwanza na wakwanza uwe wa pili kwa sababu fikra sahihi za Mwalimu za kuifanya Afrika kuwa moja zilishindwa kitambo. Na kama ingewezekana ubeti wa Mungu ibariki Afrika ufutwe kabisa tukabakia na ubeti wa Mungu ibariki Tanzania pekee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.