Mjomba izo ni chanjo za kawaida, na karibu 95% ya wataz tumepata uzo chanjo ila kwa sasa zipo chanjo nyingi sanaa, nimemsikia waziri wa afya akisema wamranza kutoa chanjo ya mlango wa kizazi, chanjo ya malaria nayo ipo njiani.
Au mjomba ww ulipewa chanjo ya mlango wa kizazi?
Sent using Jamii...
Iyo nyumba ilokatika umeme ulijrnga wewe au ulipangisha? Kama ni yako basi na mimi ntajaribu kuangalia angani usiku saa 7 nikishajenga nyumba na AC zake na punde umeme utakapokatika saa 7 usiku, kama ulipangisha basi sitafanya ivyo maana sina uwezo wa kupanga kwny nyymba yenye AC
Alafu utamsikia mpuuzi mmoja wa tanganyika akisema tunawafuatilia kwa ukaribu waandamanaji wa 26/04/2018 wanaojipanga ktk mitandao ya kijamii ikiwemo telegram
Huu ni upumbavu kabisa, haiwezekani mtu akajiamulia mwenyewe kufanya matumizi mabaya ya ofisi na akatazamwa tuu, ni wa kupingwa kwa nguvu zote, uwanja wa chato, ununuzi wa bombadia nk ni matumizi ya pesa ya serikali ambayo hayakuidhinishwa na bunge kwa shuhuli hizo, rais jpm anastahili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.