umenikumbusha Kuna mhuni alikua na demu wake wanaongea dilishan nlipo panga asa nikafunua pazia niangalie Nan yupo dilishan alichoniambia et ushamba2 sura Kama chup nkabak nacheka2 asa mtu wapo dirishan kwangu na bado wananitusi
A University Student's Story
I am a university student at [University X] located in Dar es Salaam. Every holiday, I have a habit of returning home to [My Home Region] to be with my parents. At home, my parents live with a house help who assists them with chores around the house.
As many know...
## UChawa na Ulevi wa Madaraka Unavyochangia Kutokuwa na Uongozi Bora kwa Taifa la Tanzania
Uchawa na ulevi wa madaraka ni miongoni mwa changamoto kubwa zinazoathiri uongozi bora katika mataifa mengi ya Afrika, ikiwemo Tanzania. Dhambi hizi mbili zina athari mbaya sana kwa utawala bora na...
Makala: Vyama Vingi ni Chanzo cha Ufisadi na Umaskini Tanzania?
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imepiga hatua kubwa katika mchakato wa demokrasia kwa kuruhusu mfumo wa vyama vingi. Hata hivyo, suala la vyama vingi limekuwa na mjadala mkali, huku baadhi ya watu wakidai kuwa mfumo huu...
hiz biashara za maduka ya mitaan kufanikiwa ni ngumu Sana labda zkupe hela ya kula2 swala la kufanikiwa znahitaji nidham ya hali ya juu Sana au uwe na sehem nyingne ambayo itakua inaendesha maisha yako bila kugusa hela ya biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.