Recent content by isamako

  1. I

    Kanisa Katoliki lagoma kumzika bilionea wa Ngurudoto

    Safi,ili iwe fundisho kwa wanapuuza mambo ya msingi,nimependa msimamao wa kanisa hilo!
  2. I

    Jamani andikeni wosia mapema!

    Naandika kitabu,kitatoka soon kuhusu mambo hayo.Nitawajuza kikiwa tayari.Wosia ni muhimu sana.Kuna Nyumba mjini zimebaki na wapangaji,kisa mwenye Nyumba alimficha mke na watoto,sasa kafa ghafla.
  3. I

    Tetesi: Baadhi ya watumishi wa umma hawajapata mshahara

    Hakuna mtu mwenye shida kama anayetegemea mshahara.Ni utumwa uliopitiliza.
  4. I

    Natafuta mchumba

    Tafuta kitabu cha 'MWENZI WA MAISHA' efatha bookshop,DSM, kimahama arusha au bible society,Dom.Ni kitabu kizuri kitakufaa sana has a kuhusu hitaji lako.
  5. I

    Namuonea huruma kumuacha nitamuumiza tena

    Duh,unamtesa make wako kwa tabia zako usipobadilika akiamua na yeye kubadilika utajuta,ogopa sana mwanamke kuchepuka
  6. I

    Matatizo yote haya yanatokea, Je! Kazi ya Mungu ni nini?

    Humjui Mungu we2,tatizo ni watu kutotii maagizo yake hayo ndiyo matokeo.Mrudieni Mungu.Ajali zinatokea kwa sababu gani?
  7. I

    To hell with love, Am Tired of Trying

    THERE IS A SOLUTION TO YOUR PROBLEM,see the attachment QUOTEq=Hoodla;11943062]Hi guys,hope you had a super fine day & sorry the days hustle & basal. Its hard to find true love a thing i've been offering without a shadow of doubt only to be hurt in return.I now believe in the saying "when...
  8. I

    Vijana mnakimbilia kuoa na kuolewa, hivi mnazijua ndoa kweli?

    Maisha ya ndoa ni mazuri hakuna mfano.Binafsi nipo kwenye ndoa,sijaona tatizo kama mleta mada anavyodai,inategemea umeingiaje.Tafuteni kitabu cha "Mwenzi wa Maisha" kitawasaidia sana hicho hapo.
  9. I

    Hiki ni kitabu cha kipekee kwa ndoa na mahusiano

    Ni kitabu cha aina yake kinachoangazia changamoto za kizazi hiki kuhusu ndoa na mahusiano, hakuna aliyekisoma akajuta.Umewahi kukiona au kukisoma. Angalia hapa chini.
  10. I

    Si kila mwanamke anafaa kuolewa

    :A S thumbs_down: NI KWELI AISEE, KUNA SIFA ZA MKE ANAYEFAA KUWA MKE.TAFUTA HIKI KITABU KIMEELEZA KILA KITU.KUNA SIFA ZA MUME ANAYEFAA NA MKE ANAYEFAA, NI VIZURI KUJUA SIFA HIZO USIINGIE MKENGE:
  11. I

    Miezi miwili ya mahusiano tayari anataka tufanye ngono, huyu ni wa future kweli?

    :A S thumbs_down:TAFUTA KITABU CHA "MWENZI WA MAISHA" (THE LIFEMATE) UTAPATA MAJIBU YAKO YOTE NA YALE YA WADAU WENGINE HUMU JF.USIPUUZI, NI MUHIMU SANA! KINAPATIKANA KATIKA MAENEO YALIYOTAJWA HAPA CHINI:
  12. I

    Ugumu wa maamuzi ya kumfuata mwanamke Phillipiness, Naomba ushauri

    :A S thumbs_down:KAKA KABLA HUJACHUKUA UAMUZI WOWOTE TAFUTA KITABU CHA "MWENZI WA MAISHA" (THE LIFEMATE) UKISOME KWA MAKINI.NAAMINI, SURA YA KWANZA TU YA KITABU HICHO ITAJIBU MASWALI YAKO YOTE.KINAPATIKANA EFATHA BOOKSHOP,MWENGE DSM; VICTORIA BOOKSHOP,MWANZA.NI MUHIMU SANA USIPUUZE!
  13. I

    Usalama '0' wilaya mpya ya kaonko kigoma

    NAUNGA MKONO HOJA.makoko
  14. I

    Kikwete alivyoondoka Monduli chuo cha Jeshi kwa misukosuko

    Mimi nadhani kwa hali ya wakati ule si ajabu alikuwa sahihi.Sometimes maisha yanahitaji kujipendekeza ili utoke ukikalia ukimya ndo hayo mwenzio rais sasa.Nyerere mwenyewe hiyo ndo ilikuwa sera yake kwani unadhani utaifishaji ulifanywa kwa msingi gani? Angalia viongozi matajiri...
  15. I

    Maandamano ya CHADEMA Arusha: Mabomu yarindima, raia wauawa na viongozi wakamatwa

    Polisi nao waache kujichanganya,huyu anaruhusu maandamano mwingine anazuia tatizo nini? anyway hayo ni masuala ya kawaida katika siasa.Poleni mh.Mbowe et al.
Back
Top Bottom