Si kila mwanamke anafaa kuolewa

Si kila mwanamke anafaa kuolewa

Wenginewanakuwooooowaaaa. Jaribuuu wahayaaa uonee...mpaoo
 
:A S thumbs_down: NI KWELI AISEE, KUNA SIFA ZA MKE ANAYEFAA KUWA MKE.TAFUTA HIKI KITABU KIMEELEZA KILA KITU.KUNA SIFA ZA MUME ANAYEFAA NA MKE ANAYEFAA, NI VIZURI KUJUA SIFA HIZO USIINGIE MKENGE:
 
Mnh mie mnanichoshaga mnaosema wazazi wetu walikuwa lucky,mahusiano yao yalidumu.....sasa nini kimepelekea sisi watoto wao mahusiano yetu yasidumu?.....

Yani hata hilo hulijui!
 
Kwa kweli wadau sio kila mwanamke anaevaa sketi basi anapaswa kuolewa .

Wanawake wa kipindi hiki wamekua wabinafsi wanaojijali wenyewe na familia zao tuh yaan mama , baba yake au wadogo zake tuh . Na kutowajali ndugu wa upande wa mume wake . Hivyo kupata mke mwema ktk dunia ya sasa ni vigumu sana na kama mwanaume hautomtosheleza kimahitaji huyo mkeo basi ujue utaibiwa tuh maana atatafuta mbinu mbadala ili atimize hitaji lake .


Naomba kuwakilisha wana JF.

Tatizo mnataka muendelee na ndoa za kizamani. Inabidi na ndoa zibadilike ziwe za dunia ya sasa. Unaweza kujifunza kwa ndoa za nchi zilizoendelea jinsi wanavyoendesha ndoa zao
 
Kuna bibi fulani kanda ya ziwa huko nilimuuliza kwanini ndoa za sasa hazidumu akajibu hata za zamani zisingedumu ila ilikua marufuku kurudi kwenu. Ukiolewa umeolewa.
Yakikushinda utoroke upotelee unapopajua, ujiue au umuue mume kwa mbinu ambazo walifundishwa.

Sasa nyie msiojua mnadanganya danganya tu.
 
Kuna bibi fulani kanda ya ziwa huko nilimuuliza kwanini ndoa za sasa hazidumu akajibu hata za zamani zisingedumu ila ilikua marufuku kurudi kwenu. Ukiolewa umeolewa.
Yakikushinda utoroke upotelee unapopajua, ujiue au umuue mume kwa mbinu ambazo walifundishwa.

Sasa nyie msiojua mnadanganya danganya tu.

yaani umeongea boooonge la point, watu wanadhani ndoa zilidumu coz watu walipendana kwa dhati na bla bla nyingiii, ila uhalisia wa zamani ni balaa mara elfu ya sasa basi tu ni kwavle watu hawajui na wengi wanaoongeaga hadharani hawasemagi ukweli km florah na mbasha tu yalivyoharibka ndio wakaanza kuumbuana, ila the truth to be told hakuna unafuu tangu zamani!!!
 
Back
Top Bottom