Sina uhakika Sana ila uku mtaani kwetu pia linafanyika zoezi kama ilo ila linatofautiana kidogo wenyewe wanakuwepo mahali halafu kila mjumbe anakusanya raia wake wakiwa na kitambulisho cha NIDA au mpiga Kura wanajaza form then wanapiga picha wanapewa Kadi za CCM.
Mwisho wa Israel sio Leo wala Kesho bado Sana,hawa unaowaona wanaisaidia Israel wote wametajwa kwenye vitabu vya dini kuwa watasimama kwaajili ya kuitetea Israel na pia upo wakati ambao Israel atapigwa ila sio sasa mzee
Haukutubu mbele za Mungu ndo maana aongea na Mungu yeye ndo mwenye uwezo wa kurudisha moyo wowt wa mwanamke,shida mnachukulia vitu normal san kosa unafany la uzinzi then unazani litaisha mwilini tu ,rohoni likisimam lanaua mahusiano ya mke na mume kwa nje unazan mpo sawa lkn ndan shetani...
kama huli usile cm cha muhm anakula pekee ake na alazimishi mtu mwacheni ale.na sio kitimoto ni mbuzi katoliki, mbuzi aliyeokoka amepitia ubatizo, kapitia kipaimara[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii tutaendelea kuwa watumwa mpka tutakapo elewa kuwa uongozi ni kwaajili ya vijana na sio Wazee sababu thinking capacity ya mzee na kijana ipo tofauti ya mzee iko chini sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.