Kama ni suala la picha za mama Abdul na lile jambazi Kwa Nini hazikuthibitiwa na mamlaka za Rais zisitoke? Umma ulizipataje? Kama ambavyo watu/platform zingine zilivyozipata hizo picha na hili jukwaa limezipata Kwa style hiyo hiyo, Kwa Nini watu wafungiwe kutoa maoni ndani ya nchi yao...
Wadau wa hii simulizi ya kweli
Leo nipo Addis Ababa Ethiopia nikisubiri ndege ya kuconnect back to my mother land Dar Tz nikitokea Bangkok , nimefikia hotel Moja inaitwa Swiss Inn Nexus Hotel, Hakika INSIDER MAN amewaelezea vizuri mabinti wa Kihabeshi, most of them wamejaaliwa sura na maumbile...
Kwani Kuna mbunge ambae ameshatangaza kuwa hatagombea au kurudi tena? Hata wa viti maaulumu na wale wa nafasi 10 za kuteuliwa na Rais Wana matumaini ya kuendelea Tena, mwendo wa Mbowe style kutolewa kwenye box la kura aka kwa debe
This is not the only principle to apply in marriage. Unaweza kuwa mbabe, jeuri na fedha zako na bado mwanamke akakuacha kwa 7bu anazozijua yeye. No matter how smart you are, that's not the key factor to controll marriage or relationship. Ndoa nyingi na mahusiano mengi kwa sasa yanavunjika kwa...
Hili linaweza kuwa na ukweli mkubwa sana, kwani endapo asingegombea nafasi ya M/kiti kwenye nafasi ya makamu m/kiti tayari alikuwa ameandaliwa Wenje, nafasi ya raisi angeingia mwamba mwenyewe, kwa hiyo automatically TAL angekuwa NO BODY ndani ya chama na hilo pengine lingekuwa anguko lake la...
Ukifikiria hoja zinazojengwa na FAM kwenye press pamoja na Wenje ktk interview yake jana nyingi si za kukijenga Chama Chao bali zinalenga kumwangusha TAL ktk uwanja wa siasa. Wemeruhusu DIVIDE & RULE tactic kukidhoofisha chama Chao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.