Kesho saa 5 usikuFew hours to Go
Kesho saa 5 usikuFew hours to Go
NaamFew hours to Go
Mkuu wewe umejuajeKesho saa 5 usiku
Lazima watuache tumalize mchana vizuriMkuu wewe umejuaje
Hahahaha au sioLazima watuache tumalize mchana vizuri
itapendeza wakiweka mzigo mchanaLazima watuache tumalize mchana vizuri
Yeah nilitoboa PCB.., now ni medical personnelUlitoboa?
Ulitoboa! Mbn unakatisha story?Nimekumbuka nilipo hitimu form four nikaenda tuition kuanza masomo ya advance (physics na chemistry), hapo matokeo bado hayajatoka.
Sasa siku moja nikakutana na mkuu wangu wa O level kwenye hyo shule nilipokuwa naenda kusoma alinishangaa sana ....
Alinihidi kunisomesha advance endapo nitatoboa O level na gharama za tuition pia alinambia atalipa..., Mwenyezi mungu ampe malipo mema yule Madame.
Story iendeleeUlitoboa! Mbn unakatisha story?
Lazima watuache tumalize mchana vizuri
Hivi sasa ni Saa 5:15 usiku hadi sasa 0-0Kesho saa 5 usiku
Haileweki mkuuVijana wetu watapata matokeo saa ngapi
NakubaliKuna haja kubwa ya kupaza sauti, taasisi zote za uma sahili zao zirudi psrs,... Mambo kama haya hakunaga kule utumishi
