Pambana upate kazi kwanza hasa hicho kitengo mambo yote yanapitia sana hapo, serikalin hatuangalii mshahara tunachek magap na security if you know you know!!
Aliyekuambia ina tawi moja nani? Dodoma PSSF Tower wapo pale, Dar wana branch zao, Singida pia. Kama kitu hakikunufaishi tena acha kukiponda kumbuka wakati kilipokunufaisha. Fata utaratib upewe akiba yako. Sio kana kwamba mimi ni mfanyakazi wala mteja wa hiyo benki ila nakukumbusha kwamba kitu...
Sasa hapo huinj kwamba hao wafanyakazi wa kampuni walikua wanataka kutia pesa mfukoni kama hawataki kutoa tiketi ungewasilisha malalamiko kwenye namba za kampuni mbona zipo.
Mabasi pia yana status zake usifananishe bei ya Coster na basi ambalo lina hadhi tofauti, hata bei ni tofauti
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.