cleokippo
JF-Expert Member
- Dec 21, 2014
- 2,072
- 1,697
Nawasalimu kwa jina la JMT na kazi iendelee
nimekuwa mteja wa hii bank wanayojiita DCB kwa takribani mwaka wa 3 au 4 hv sasa, nilifungua akaunt hii nikiwa mkoani Morogoro kupitia kwa maafsa mikopo wao,
kwani nilikuwa ni mmoja kati ya wanufaika wa mikopo yao,
kwa kipindi chote cha miaka mitatu nilikuwa nakopa kwenye bank hiyo na kufanya marejesho bila usumbufu wa aina yeyote
Mkopo wangu wa mwisho nilichukua mwaka jana hatimaye mwaka huu nimeumaliza
leo hii nimehamishwa kikazi nipo mbali sana na morogoro ikabidi niombe wanipe form ili niweze kuchukua akiba yangu cha kuskitisha hawataki kunipa hiyo form eti mpaka afsa mikopo anione kwanza wakati wao pale morogoro wanamuwakilishi ambaye sisi ndio miaka yote huwa tunafanyakazi nae
sasa nashindwa kumuelewa afsa mikopo huyu lengo lake hasa nini la kunitoa mbali huku nilipo mpaka morogoro wakati wawakilishi wengine wa bank pale wapo na wao wananifahamu mimi vizuri kias kwamba wanaweza tu wakamuwasilisha
nimekuwa nikimpigia simu mara kwa mara kwamba nipate iyo form ili nichukue akiba yangu jibu lake haiwezekani mpaka anione
sasa hii kitu mimi inanitia mashaka sana na kuanza kuhis kama ni bank flani ya wapigaji sababu kwanini wamzuie mteja kuchukua akiba zake
kitu kingine kinachonitia mashaka bank haima ATM mashine, bank haina hata branch mkoa wowote
pesa wakikuingizia uzitoe kwa hawa mawakala wa mpesa tena kwa gharama za juu sana
sasa hawa jamaa si wapigaji? na hata sijui kama leseni yao waliipata kihalali toka kwenye mamlaka husika sababu mbona hawafuati kabisa miongozo ya BOT ?
kama kuna mtu wa DCB humu awasilishe haya malalamiko ya wateja ofisini maana wengine hatuna access ya kuwafikia viongozi wao huko juu
asanten nawasilisha!!
nimekuwa mteja wa hii bank wanayojiita DCB kwa takribani mwaka wa 3 au 4 hv sasa, nilifungua akaunt hii nikiwa mkoani Morogoro kupitia kwa maafsa mikopo wao,
kwani nilikuwa ni mmoja kati ya wanufaika wa mikopo yao,
kwa kipindi chote cha miaka mitatu nilikuwa nakopa kwenye bank hiyo na kufanya marejesho bila usumbufu wa aina yeyote
Mkopo wangu wa mwisho nilichukua mwaka jana hatimaye mwaka huu nimeumaliza
leo hii nimehamishwa kikazi nipo mbali sana na morogoro ikabidi niombe wanipe form ili niweze kuchukua akiba yangu cha kuskitisha hawataki kunipa hiyo form eti mpaka afsa mikopo anione kwanza wakati wao pale morogoro wanamuwakilishi ambaye sisi ndio miaka yote huwa tunafanyakazi nae
sasa nashindwa kumuelewa afsa mikopo huyu lengo lake hasa nini la kunitoa mbali huku nilipo mpaka morogoro wakati wawakilishi wengine wa bank pale wapo na wao wananifahamu mimi vizuri kias kwamba wanaweza tu wakamuwasilisha
nimekuwa nikimpigia simu mara kwa mara kwamba nipate iyo form ili nichukue akiba yangu jibu lake haiwezekani mpaka anione
sasa hii kitu mimi inanitia mashaka sana na kuanza kuhis kama ni bank flani ya wapigaji sababu kwanini wamzuie mteja kuchukua akiba zake
kitu kingine kinachonitia mashaka bank haima ATM mashine, bank haina hata branch mkoa wowote
pesa wakikuingizia uzitoe kwa hawa mawakala wa mpesa tena kwa gharama za juu sana
sasa hawa jamaa si wapigaji? na hata sijui kama leseni yao waliipata kihalali toka kwenye mamlaka husika sababu mbona hawafuati kabisa miongozo ya BOT ?
kama kuna mtu wa DCB humu awasilishe haya malalamiko ya wateja ofisini maana wengine hatuna access ya kuwafikia viongozi wao huko juu
asanten nawasilisha!!