Recent content by IQ Warehouse

  1. I

    January Makamba, hizi picha unamaanisha nini? Makubwa!

    YAWEZEKANA UMUFUMBUA FUMBO. Uchambuzi mzuri huu..
  2. I

    Ndege ya kijeshi ya Kirusi yaangushwa na jeshi la Uturuki, NATO yaitisha Mkutano maalum

    ha ha ha ha ..... Hapo ndipo Marekani itakapo omba Pause katikati ya vita..
  3. I

    Miaka 54 baada ya uhuru CCM wabadili mfumo bila wao kujua

    Naona Mwanasayansi Magufuli anaendelea kutupa Suprise na kutufungua macho.! #hapakazitu2015
  4. I

    Rais Magufuli: Hakuna sherehe ya miaka 54 ya Uhuru mwaka huu, Badala yake mkafanye Usafi

    Magufuli kafuta sherehe, ila hajafuta sikukuu. Atahutubia nchi kama kawaida na viongozi watahutubia taifa kwa njia ya Redio na Tv.
  5. I

    Serikali kurejesha viwanda na mashamba yaliyokiuka mikataba ya ubinafsishaji

    elimu, elimu, elimu...... Uliambiwa nyumba za kuishi ni mradi wa uwekezaji!? Kama hujui maana ya uwekezaji kaa kimya we nyumbu.
  6. I

    DC Makonda, ni Kujipendekeza au Utovu wa Nidhamu?

    Mh Makonda hajafanya kosa lolote la kisheria au kimaadili katika hio picha, ukizingatia aliipiga ata kabla Mama Sami hajaapishwa.! huyu makonda ni mchapakazi mzuri ukilinganisha na umri wake, tatizo ni watu wachache wasio na bahati maishani mwao, na hawataki kujishughulisha ndio wanajitaidi...
  7. I

    John, stuka au utaachwa solemba pale Ubungo mataa!

    ha ha ha ha.... Kumbe Mrisho na Peter wali retain barua zake za kujiuzuru!! basi bado kidogo moto utawaka.
  8. I

    Askari walilazimika kutumia mabomu kutawanya wana CHADEMA Bugando

    ha ha ha ha aas.. wodi zingejaa, wengine wangekua Mochwari..! ha ha ha aaas
  9. I

    Kumbe Tingatinga letu ni Manual na sio Automatic..!

    Wapi nimemtaja au kumkosea raisi wa wasafi!? We Sharobaro vipi?! Nenda kashtaki TCRA kama unahisi nimemtukana raisi wako.
  10. I

    Kumbe Tingatinga letu ni Manual na sio Automatic..!

    Kama ingekua rahisi ivo, mbona kufika kwake hospitali hakujawafanya wagonjwa wapone?? ku support michezo sio kushangilia michezo! ku support michezo ni kutengeneza mazingira ya kuboresha viwanja, kuibua vipaji na kuving'alisha, kutengeneza pato la taifa kutokana na michezo, kutengeneza ajira...
  11. I

    Kumbe Tingatinga letu ni Manual na sio Automatic..!

    Sio siri kuwa mzalendo ni kitu kizuri, ila lazima kuwe na vipaumbele katika uzalendo. Si busara kua mzalendo katika kila kitu eti kwakua kimefanywa na wazawa.! Katika uchumi kuna kitu kinaitwa "Scale of Preference" na kingine "Opportunity Cost". Sidhani kama mapema hii Jembe lingepelekwa...
  12. I

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Mzee wa "Mama Tanzania" mara "Damu za Watanzania" na vitisho kibao.! Mbatia ni mzuri,Shida anahongwa kiraisi, na akishahongwa anabwabwaja niaje! Hafai ata kua Mkuu wa Shule.
  13. I

    Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali marufuku

    Ni kweli ni biashara halali, ila utoaji wa leseni utabadilishwa. sio kila sehemu unaweza kufanya biashara yoyote. Kila leseni ina masharti yake, wenda shariti la kutofanya biashara ya madawa katika eneo la mita kazaa karibu na hospitali litaongezwa. #hapakazitu
  14. I

    Mwanamkakati wa timu ya kampeni na msaidizi wa Lowassa ni Mkenya

    We ni Nyumbu tu, maana unauliza maswali ya kinyumbunyumbu. sasa nakushauri, Watu walibeba twiga hatukuona wanashtakiwa au kuhukumiwa, sasa na wewe nenda mbuga za wanyama ukabebe swala, tuone itakuaje... Kwanini mnapenda kujilinganisha na watu wenye mamlaka? Life is not fair siku zote, ndo...
  15. I

    Wanaotarajia upinzani tutamuunga mkono Magufuli hamjui siasa

    Katiba ya Tanzania inamruhusu Raisi kuingilia na kufanya kazi za wizara yoyote ata kama Waziri husika yupo madarakani. Raisi ndio kiranja mkuu kama ulikua haujui! Siku nyingne uwe unapitia Sheria kabla ya kuja umu kubwabwaja. Nyumbu wewe..!!
Back
Top Bottom