Askari walilazimika kutumia mabomu kutawanya wana CHADEMA Bugando

Askari walilazimika kutumia mabomu kutawanya wana CHADEMA Bugando

Peter Dafi

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2012
Posts
394
Reaction score
272
Labda nitie neno kidogo.

Suala la Askari kutumia mabomu ya machozi jana hospitali naliona halipaswi kutiwa lawama kwao.

Otherwise iwe analaani mabomu hayo nae aliluwa anahitaji kuona Maiti nyingine ya Askali inaongezeka Pale Mochwali pembeni ya Mwili wa Mawazo.

Vijana wa CHADEMA walikuwa wakimpiga Askali aliyekuwa akisaidia maeneo yale ya Mochwali na walimtoa Mochwali wakimpiga mpaka alipopata msaada wa askali kiwatawanyisha kwa mabomu muda huo Askali huyo alishajeruhiwa zamani, manake zingeongezeka Dakika 3 ilikuwa Marehemu Askali.

Hapakuwa na Namna yakuwatawanya au kumuokoa Askali aliyekuwa kazungukwa na Vijana wahuni wa CHADEMA walioamua kumuadhibu pasipokuwa na Kosa Lolote.

Lakini pia Nimshangae sana Lema kwa Muendelezo wake wa kauli za kutisha na kuhamasisha Vurugu.

Atakuwa nazidi kuwatafutia vijana majeraha, Vilema na Vifo zaidi wakati yeye akiwa anakula bata ktk V8 yale, Chopa, Ndege nk....

Suala lakuhamasisha Vijana wawapige Askari na Wana CCM bi jambo la Hatari sana kwani Vita na Mgogoro huu niwahatari sana kqakuwa nikwasisi wenyewe pasipokuwa na kosa lolote ila Kwa Faida ya Wanasiasa Uchwala km hawa wanaopenda Vita na Vurugu kuliko Amani ya Taifa na Jamii pia.

Nashindwa kujua Lengo kuu hapa ni Nini Lakini naiona Dhamira ya kuhamasisha Machafuko kwa toka kwa Kauli za Lema hii inanisikitisha sana na Inanifanya nimshangae sana Kakangu huyu kwani anashindwa kuwa Muungwana na kulitakia Taifa hili amani bali Machafuko.

Wako wapi wanaharakati wa Tanzania watetezi wa haki za binadamu! Wao wanaona kuwa kauli hizi zakichochezi ni sawa tu sio?

Naomba tuzifuate Mamlaka, Sheria, Kanuni na Taratibu tulizojiwekea.

Hata kama Serikali hii ingekuwa niya CHADEMA lazima Mamlaka zifanye kazi zake kama zilivyojipangia na sio kwakufuata Maelezo ya Wanasiasa.
 
Hoja nikutetea wagonjwa akasahau alikuwa anahatarishiwa Uhai wake kwa kipigo cha wana CDM.
Kweli Mabomu yalistua wagonjwa nk...
Lakini ilikuwa nilazima iwe hivo ili kuokoa uhai wa Mtu.

Sasa ntashangaa sana km kuna mtu atasema Askari wasingefanya vile wangefanya kimnya ili Mtu auwawe kisha tena Lawama Zije kwa Askari kuwa Askari wa Tz niwazembe sana.

Askari akufa mbele yao.
 

Attachments

  • 1447702191768.jpg
    1447702191768.jpg
    40.7 KB · Views: 2,601
hoja ni serikali haitendi haki machafuko siku zote husababishwa na factor moja ni longterm grivances between leaders and manority nchi hii ime experiences mambo mengi sana ikiwemo watu kuuwawa bila hatia huduma mbovu na mahakama kutotenda haki mfano zanzibar utokee ugaid tutashkana uchawi? wakati tayari source inaonekana cha pili kinachosabisha kutokea machafuko ya kudai haki ni kundi moja kuona kwamba wao wana patent right ya kutawala na mwisho ni uwepo wa wanaharakati so mi naipenda nchi yangu serikali ijitahid kuweka haya mambo sawa.
 
Askari ndiyo walikuwa na makosa watu wamekuja kuhifadhi maiti, sasa kosa la askari ni kuwaambia wafuasi wa Chadema waondoke ili wao polisi waendelee na uchunguzi, kama walijua hiyo maiti inatakiwa kuchunguzwa kwa nini hawakwenda Kule kijijini kwenda kumchunguza, labda watasema kule hakuna vifaa sawa walishindwa nini wasisubiri siku ile wafuasi wa ukawa wamalize wao waje kesho yake waendelee na mambo Yao?
 
Ww ni.nani hata unakuja kulisemea jEsh ujinga wao wale
 
Hoja nikutetea wagonjwa akasahau alikuwa anahatarishiwa Uhai wake kwa kipigo cha wana CDM.
Kweli Mabomu yalistua wagonjwa nk...
Lakini ilikuwa nilazima iwe hivo ili kuokoa uhai wa Mtu.

Sasa ntashangaa sana km kuna mtu atasema Askari wasingefanya vile wangefanya kimnya ili Mtu auwawe kisha tena Lawama Zije kwa Askari kuwa Askari wa Tz niwazembe sana.

Askari akufa mbele yao.

Hivi yale maonyesho ya askari ya judo na karate wanapohitimu mafunzo kumbe ni kama sinema tuu sio ya uhalisia? Kama vijana wale hawakuwa na silaha jee askari walishindwa nini kutumia hizo judo na karate kujilinda mpaka watumie mabomu eneo kama lile? Kumbe ubabe wao ni matumizi ya vifaa vya moto tuu hakuna zaidi?
 
Huyo askari alikuwa ansaidia nini hapo mochwari. Eleza hapa sio unaongea utumbo. Ndio majukumu yake aliyopangiwa siku hiyo?
 
Hata wewe nakushangaa unae tetea askari kwa kupiga wananchi wasio kuwa na hatia mabomu na kufanya taharuki kubwa hospitalini,labda kama umetumwa
 
Fanya HAKI, AMANI itakuwepo. Tofauti yake ndio hiyo. Kwenye nchi za Africa bila wananchi kufanya hivyo usitegemee kupata hicho unacho kisema, ungejiuliza swali ambalo hata mwehu angeweza kujiuliza, Marehem kauawa Geita tena alitupwa sio mbali sana na kituo cha police Katoro, police hao hawakutoa msaada wowote pamoja na kwamba waliitwa, OCD wa Geita kilimpeleka nini Mwanza wakati huko kuna RPC wake? Tusiwe wavivu wa kufikiri namna hi guys.
 
Askari wetu wastaarabu sana, ingekuwa nchi zingine nadhani huyo mshezi Lema angekuwa keshapigwa pini na wahuni wenzake.
 
Jipange tena zaidi kwa kutafakari kwa makini.

Tunaamini kwamba FFU wengi ni vijana wenye uwezo wa kufanya self defence kwa kutumia mikono tu na miguu. Walikua na uwezo wa kuingia katikati ya wale vijana kwa kuwatumia virungu tu na kuwasukuma na kumuokoa mwenzao.
Walikua na uwezo wa kutumia karete na judo tu na kumwokoa mwenzao.

Hata ukiangalia kwenye video wale vijana walikua wanamfukuza tu yule askari na miongoni mwo walikua wanawazuia wenzao wasimpige yule askari.

Pia wale hawakua wamekusanyika pale kwa ajili ya kufanya fujo na hawakua hata na silaha hata mawe.

Pia hakuna mtu aliyepinga matumizi ya nguvu kumwokoa yule askari asidhuriwe bali watu walichokosoa ni matumizi ya silaha zenye milipuko mikubwa na moshi mkali kwenye eneo kama la hospitali ambapo kuna maelfu ya watu wasioweza hata kukimbia.

Hebu fikiri tu hata kidogo kuwa endapo bomu moja lingepiga waya wa umeme na kuukata na kusababisha shot ya umeme madhara yake yangekuaje?

Aliyekua anaongoza kile kikosi amekosa akili na busara kabisa .

Ajifunze na siku kupitia kukosolewa na wananchi wenye elimu mbalimbali sio kuja na porojo za ubishi siku ikitokea madhara makubwa kila mtu atamruka na kumwona mwehu wakati ana askari wenye uwezo mkubwa wa kutumia virungu mikanda,mateke na ngumi juu.

Mbona wanajeshi wanaingiaga mitaani na kutwanga watu wanapoona mwenzao amezingirwa bila kutumia silaha.
Judo na kareti kwenye vyuo vya kijeshi zinafundishwa kwa wakati na matukio kama yale ya Bugando.

Kama na wewe mleta mada unaakili hata ya kutambua chakula hebu jiulize ingekua ni eneo lenye mitambo ya umeme wa gesi askari wangepiga mabomo kwa watu waliobeba maiti tu? Aibu kubwa!!!
 
Bora mabomu kuliko wangetembeza mikono na virungu wahuni wa chadema wangelazwa wote hapo Bugando
 
Nipo siku Mungu atawazawadia vita hawa askari waisiotenda kazi, wataenda kupigana vitani na huko ndiko watakapokutana na changamoto zaidi.
 
Askari wetu wastaarabu sana, ingekuwa nchi zingine nadhani huyo mshezi Lema angekuwa keshapigwa pini na wahuni wenzake.

Kwanza huyu Rehema sijui Lema kwanini hakamatwi na kufunguliwa mashitaka. Yeye ndio huwarubuni vijana kuanzisha vurugu za kisiasa, wazee wa Arusha wanalalamika watoto wao wamekuwa wanywa viroba, wavuta bangi na wala mirungi...wanatumika kwenye vurugu za kiasasa. Mbunge katika kipindi chake ameshindwa hata kubuni kitu kwa vijana wa Arusha kuleta maendeleo katika mkoa wao!
 
Kwanza huyu Rehema sijui Lema kwanini hakamatwi na kufunguliwa mashitaka. Yeye ndio huwarubuni vijana kuanzisha vurugu za kisiasa, wazee wa Arusha wanalalamika watoto wao wamekuwa wanywa viroba, wavuta bangi na wala mirungi...wanatumika kwenye vurugu za kiasasa. Mbunge katika kipindi chake ameshindwa hata kubuni kitu kwa vijana wa Arusha kuleta maendeleo katika mkoa wao!

Sikuwaelewa kabisa wale askari wa Mwanza, jamaa anaonekana kabisa anachochoea halafu wanamuacha? I think labda wana matatizo wale
 
Haujui nn unachokiongea,ina maana hyo mwanachadema alouliwa co chochote kwako, kama kweli unapenda amani kwa nn hukulaani kitendo hicho cha green guard ,ww ni mpofu na haufai katika dunia hii

nafikir amewazungumzia askar zaid na sio green guard
 
daffa..huonekani kulaqni kifo cha mawazo

Huonekani kuhoji polisi hao walishindwaje kuokoa uhai wa mawazo

Unaonekena tu kutetea
 
Back
Top Bottom