Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Maduka yote ya dawa nje ya hospitali za Serikali kuondolewa.
Ni mkakati wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wa kukomesha wizi wa dawa unaofanywa na watumishi wasio waaminifu.
Katibu mkuu Dk. Donald Mmbando amesema tayari wameandaa rasmi rasimu ambayo imeshakamilika wanasubiri Waziri wa Afya atakayeteuliwa aweze kuipitisha.
Adai Serikali pia inatarajia kutoa bei elekezi ya matibabu katika hospitali zote za binafasi ili mwananchi aweze kumudu gharama za matibabu.
Aiagiza MSD kuhakikisha inaweka dawa za kutosha kwenye hospitali wakati wote "naomba iwe mwisho kusikia mgonjwa anaenda kununua dawa nje, eti kisa hospital haina dawa, natamka sitaki kusikia tena'.
Chanzo: Magic Fm
UPDATE:
Mwaka 2022, Serikali imesisitiza kuwa ni marufuku kuwa na duka la dawa ndani ya mita 500 toka hospitalini. Soma Waziri Ummy Mwalimu: Maduka ya dawa nje ya hospitali yaliyo ndani ya mita 500 kuondolewa
Ni mkakati wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii wa kukomesha wizi wa dawa unaofanywa na watumishi wasio waaminifu.
Katibu mkuu Dk. Donald Mmbando amesema tayari wameandaa rasmi rasimu ambayo imeshakamilika wanasubiri Waziri wa Afya atakayeteuliwa aweze kuipitisha.
Adai Serikali pia inatarajia kutoa bei elekezi ya matibabu katika hospitali zote za binafasi ili mwananchi aweze kumudu gharama za matibabu.
Aiagiza MSD kuhakikisha inaweka dawa za kutosha kwenye hospitali wakati wote "naomba iwe mwisho kusikia mgonjwa anaenda kununua dawa nje, eti kisa hospital haina dawa, natamka sitaki kusikia tena'.
Chanzo: Magic Fm
UPDATE:
Mwaka 2022, Serikali imesisitiza kuwa ni marufuku kuwa na duka la dawa ndani ya mita 500 toka hospitalini. Soma Waziri Ummy Mwalimu: Maduka ya dawa nje ya hospitali yaliyo ndani ya mita 500 kuondolewa