Recent content by IPYANA MWASAMBUNGU

  1. IPYANA MWASAMBUNGU

    Ajira afisa kilimo na mifugo

    naona kimyaa tuu!
  2. IPYANA MWASAMBUNGU

    Ajira afisa kilimo na mifugo

    Jamani nini kinaendelea kwa tulio jaza mikataba, tukapewa vituo vya kazi na tukasitishiwa ajira mwaka jana? afisa kilimo na mifugo UYUI-TABORA?
  3. IPYANA MWASAMBUNGU

    Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

    muite mhuni mamaako
  4. IPYANA MWASAMBUNGU

    Watumishi wa umma kutopanda vyeo/madaraja hadi wapitie mafunzo maalumu

    tuendelee kusoma namba......MUNGU TUSAIDIE TANZANIA
  5. IPYANA MWASAMBUNGU

    NAOMBENI MNISAIDIE

    ok! lkn kama yupo mwenye nayo anisaidie
  6. IPYANA MWASAMBUNGU

    NAOMBENI MNISAIDIE

    Jamani naombeni mnisaidie mwenye namba ya simu ya mkuu wa mkoa TABORA
  7. IPYANA MWASAMBUNGU

    Kwa wale ajira mpya walio repoti vituo vya kazi mwaka jana na ajira zao kusitishwa

    itakuwa vizuri maana mimi pia ni Mhanga wa hizo ajira
  8. IPYANA MWASAMBUNGU

    Ni kwanini Lissu kachaguliwa kuwa Rais wa TLS?

    C..........na ndio ukweli
  9. IPYANA MWASAMBUNGU

    Waliositishiwa ajira zao mwezi May/Jun 2016

    Ukweli Ni Upi? Halmashauri Gani Imewaita Watu Kazini? Mbona Halmashauri Nyingine Wanasema Bado Hawajaruhusiwa?
  10. IPYANA MWASAMBUNGU

    UPDATES: Mgomo wa Madereva - Maeneo mengi nchini usafiri ni shida! Mei 04, 2015

    Pia leo form six ndo wanaanza mitihani! Itakuaje?
  11. IPYANA MWASAMBUNGU

    Hii sehemu kama ya line kwenye laptop sielewi.

    Hata Mimi Kwenye Laptop Yangu Nimeiona Hiyo Sehemu, Tusaidiane Jamani..
Back
Top Bottom