Waliositishiwa ajira zao mwezi May/Jun 2016

Waliositishiwa ajira zao mwezi May/Jun 2016

Ukiandamana aisaidii kurudishwa kazini,,watu walikua wanaomba tu official termination ya ile kazi kama wameona hawaitaji tena wafanyakazi ili waangaike vingine mana mwisho wa siku maisha lazma tu yaendelee kivyovyote vile,ila wanavyokua kimya wakat miez 6 imekatika wanakosea sana.
 
Ukiandamana aisaidii kurudishwa kazini,,watu walikua wanaomba tu official termination ya ile kazi kama wameona hawaitaji tena wafanyakazi ili waangaike vingine mana mwisho wa siku maisha lazma tu yaendelee kivyovyote vile,ila wanavyokua kimya wakat miez 6 imekatika wanakosea sana.
Vumilieni labda wanakamikisha ripoti ya uhakiki ndio watoe vibali!...
 
Ukweli Ni Upi? Halmashauri Gani Imewaita Watu Kazini? Mbona Halmashauri Nyingine Wanasema Bado Hawajaruhusiwa?
 
Serikali inachokosea ni ktoktoa taarfa kwa umma tu, miez 6 huna kazi na hujui hatma yataka moyo sana, wakisema hata kuwa ni may 2017 watu wataumia lakn watazoea na hawatauliza mpaka huo muda ukifka, lakn ububu huu watu hawaelewi nn hatma yao, WAKIULIZWA WANAJIBU KISIASA! WATU WAMECHOKA, SIO LAZMA KUWARUDISHA KAZIN ILA WAPENI TAARFA ZA HATMA YAO NA NYINYI WATAJUA WAFANYAJE ILI MAISHA YAO KUENDELEA.


OVA, ACHENI SIASA NA MAISHA YA WATU, FANYENI SIASA KWENYE VYAMA VYENU WAKATI WA KAMPENI.
 
Jaman hz taarfa znasambaa kama upepo, imekuwa ajira zilizositshwa za Mahakama na afya et kuftwa kimya kimya,aliesema katibu mkuu utumishi umma, nahusika wasubr ajira Mpya na wataomba tena upya, chanzo jamii forum! Dogo ni muhanga leo ndo kaona hyo taarfa nahisi ametaka kufa na pressure! Jaman tunaoleta Uzi usokua na data kamili taarfa hz znasambaa sana nawahanga wanaumia zaid, humu jf kuna waandishi wa habar wanatoa humuhum bila kuwa na uhakika, jaman tunaumiza watu! KUNA HAJA YA SERIKALI KUTOA TAMKO JUU YA MAMBO KAMA HAYA YANAYOTOLEWA TAARIFA KWA UMMA KILA KUKICHA!
Inaonekana maghufuli haumjui vizuri
 
Kiukwl haielewek, na waliorudishwa wanasign upya mikataba na inasoma wameajiriwa 1st Nov
na nyie mta sign upya mkataba utasoma 1 Dec tuna fanya mambo kwa awamu na utaratibu ili tusiruhusu wafanya kazi hewa
 
Wakisign upya hyo mikataba wanawapa tena hela za kujikimu? Ina maana muda waliositishiwa AJIRA zao ni sawa na kwamba walikua wamefukuzwa?
 
Bado zoezi la kurudishwa kazini kwa waliositishiwa ajira June linaendelea au kimya kama wafu? Mahakama na afya bado hakna hata fununu? Au uhakiki wa vyeti vya ndoa mpaka uishe 30 Nov? Hafu wafanye tathmn miez 2 ili wafikie azima yao ya Feb mwakan kama ilivyosemwa na Chief?

Kama Mahakama na afya wakianza kuitwa tujuzane maana kuna madogo hadi Simu wameuza hivyo kupata taarfa mpaka kusikilza radio na TV! Sahivi wanaishi kama ilivyotabiriwa(kishetani)!
 
Kila mtu anazungumzia mahakama na afya kuna wale wa chuoni MJNUAT vp wameshaitwa!?
 
Kuweni na tabia yakutembelea tovuti husika acheni story facebook jamani PSRS tarehe 18 nov wametoa ufafanuzi baada ya watu kuuliza maswali ni vyema utembelee tovuti iyo ili kujiridhisha ukaachana na story za vijiwe vya kahawa
 
Jaman mie nilisitishiwa mshahara tangu mwezi WA 6 nimepiga simu kwa afisa utumishi anasema wanaandaa barua za mkataba mpya isome Nov 1. Sasa nauliza hata sisi tuliokuwa na check no. Tunasign mikataba upya? Tupeane taarifa jaman.
 
Mikataba yote unaanza Nov.1 hata mliokuwa na mikataba, waliorudshwa kazn mwez huu tayar wanefanya hivyo na wamesaini huo mkataba, mlobaki kurudishwa mtaenda kujaza mkataba unaoanza Nov.1
 
Inasikitisha sana maana wapo waliokuwa taasisi binafsi wameajiriwa na kujiunga serikalini,wiki chache baadae wanawekwa benchi n discipline ya Hali ya juu sana.
 
Mikataba yote unaanza Nov.1 hata mliokuwa na mikataba, waliorudshwa kazn mwez huu tayar wanefanya hivyo na wamesaini huo mkataba, mlobaki kurudishwa mtaenda kujaza mkataba unaoanza Nov.1
je wasiokuwa na check no ndio awajarudishwa mikataba yao itasoma lini nov au Dec
 
Hapo mkuu haijurkani mpaka warudshwe ndo watayakuta na ndo itajurkana ila kwa sasa hakna ajuae zaidi ya wenye kauli! Siku wakiamka vzr watatoa waraka na mwafaka wa wahanga hawa!
 
Back
Top Bottom