Kama mada inavyojieleza Nina imani lazima kutakuwa na wenzangu ambao tuliwahi kufumaniwa.
Jana tarehe 2.4.2018 nilipewa miadi na Dada mmoja ambaye hatujazoeana sana. Kisa kizima kilikuwa hivi. Katika sehem ninayofanyia biashara kuna frame kama sita za biashara na katika frame hizo Dada huyu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.