Ni tatizo la ITV (sender wa signal) wenyewe,Katika hali ya ajabu dstv wameondoa matangazo ya itv na kuweka eatv katikati ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku
Mbona Startimes haijatoaAcha upotoshaji,ni mitambo yao na wala sio DSTV pekee,hata startimes imetoa
Mbona Startimes haijatoa
Usiwe unaweka kidole gumba juu ya button kama huna subra.Okay kumbe mitambo chakavu ya itv? Next time wasije wakatuwekea pilau katikati ya habari
Hata ContinentalAcha upotoshaji,ni mitambo yao na wala sio DSTV pekee,hata startimes imetoa
kumradhi watazamaji ni hitilafu ndogo ilitokea kwenye chumba cha ufundi, harakati zaidi zinaendelea tutarejea tulipoishia hivi punde , poleni kw kukereka