Rekondoboshiki
JF-Expert Member
- Nov 24, 2017
- 228
- 281
Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?
Kama utakuwa ulibahatika kufika elimu ya sekondari na ulipata kusoma somo la baiolojia bila shaka mwalimu wako ama wa darasani au wa elimu kwa vitendo (practical) alikufunza kifuatacho:Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?
Hayo ni maswali fikirishi ambayo wanasayansi huwajiuliza, bahati nzuri wao wakiwa na swali kama hili basi huingia kazini kutaka kujua kwanini hiyo ndizi huwa na sukari, waafrika wengi tumejipa ukomo wa fikra, wengi moja kwa moja watasema ni kazi ya Mungu, ila kwa wenzetu weupe anaingia maabara kuchambua hiyo ndizi....aliyegundua kuwa kuna kani ya uvutano tunaambiwa alikuwa chini ya mwembe embe likambonda...kile kitendo cha yeye kupigwa na embe kilimfanya afikirie sana, kwanini embe limdondokeee yeye na lisiende juu bali lije chini....akaanza kufanya uchunguzi wake baadaye akasema kuna kani ya uvutano.
Hata wewe kama uko serious kutaka kujua unaweza kusoma sana kuhusu ndizi na baadaye unaweza ukafanikiwa na kuja na jibu au nyongeza ya jibu kutoka pale walipofanya wenzako.
Basi sukari ingekuwa inatengenezwa kupitia ndizi na sio miwa
Sio kila kitamu ni sukari ..tende ,asali hazina nasaba wowote na sukari ,kama ndio hivyo wakati nyuki wanatengeneza asali wangekuwa wanatumia sukari
Don't confuse sweetness with sugar
Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?
Na papai je?Kama utakuwa ulibahatika kufika elimu ya sekondari na ulipata kusoma somo la baiolojia bila shaka mwalimu wako ama wa darasani au wa elimu kwa vitendo (practical) alikufunza kifuatacho:
Matunda hususani ndizi yana kitu kiitwacho polysaccharides (starch) kwa kiswahili huitwa wanga, sasa kutokana na uwepo wa vimeng'enya vya asili, huvunja vunja wanga uliopo katika ndizi na kuzalishwa fructose (hii ndio ule utamu wa tunda) na vitu vinginevyo...
Hii ni chemical process kama zilivyo reactions nyingine za kikemikali ndio maana unahitaji mazingira fulani kama joto stahiki n.k ili ndizi (tunda) ipate kuwa mbivu...
Umemaliza kazi. Pia ka elimu ka form four kwenye Chemistry ni muhimuKama utakuwa ulibahatika kufika elimu ya sekondari na ulipata kusoma somo la baiolojia bila shaka mwalimu wako ama wa darasani au wa elimu kwa vitendo (practical) alikufunza kifuatacho:
Matunda hususani ndizi yana kitu kiitwacho polysaccharides (starch) kwa kiswahili huitwa wanga, sasa kutokana na uwepo wa vimeng'enya vya asili, huvunja vunja wanga uliopo katika ndizi na kuzalishwa fructose (hii ndio ule utamu wa tunda) na vitu vinginevyo...
Hii ni chemical process kama zilivyo reactions nyingine za kikemikali ndio maana unahitaji mazingira fulani kama joto stahiki n.k ili ndizi (tunda) ipate kuwa mbivu...
ukiwa unawah nafasi una mtag mwenye nafas yake joverestSwali zuri sana..
Mbona huulizi matunda mkuu? Kwa mfano embe mbichi ni chungu sana, ikiiva tamu kweli kweli.Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?
Kijana soma tena soma san biologia na kemia ili upate elimu ya sayansi ya msingi.Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?
Niko hapa nnakula ndizi za kuiva, kuna swali limeniijia: ndizi inapokuwa mbichi haina sukari hata kidogo, ila ndizi hiyo hiyo iivapo ina sukari balaa, je huitoa wapi hiyo sukari?

Dah your reply has made me laughNi kawaida karibia vitu vyote vikiiva au kukomaa vinakuwa vitamu. Hata watu huwa wanakuwa watamu eanapofikia muda wa kutumika. Hahahaha, am kidding!