Mimi ni muhanga wa hilo tatizo na nipo tayari kufuata ushauri wowote wa kimatibabu ili mradi nipone tu.
Maana hii hali sasa hivi imekuwa mbaya sana.
......PS:- mwenye tiba Asilia na ya uhakika ani PM tafadhali.
Wahenga walisema mficha uchi azai na mficha maradhi kifo kitamuumbua.
Wewe ulikuwa muoga tu, mbona mimi nitembea na takribani mabinti 4 ambao wanasemwa ni wa mama salima JK.
Na nilipima UKIMWI zaidi ya mara 4 Nashukuru nipo salama tu.
Nilianza UDSM 2009 TO 2012
Russian roulette -Rihanna, You know me - 2pistol feat Ray J, 16@War - Karina Pa sian, Moving Mountain - Usher Raymond, Die for you - Chris brown.... And more.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.