Nipo hapa, tupia namba tuwasilianeHabarini za jioni wapendwa natafuta mume wa kuishi naye Miaka Kuanzia 35-45 mwenye kufanya kazi familia isilale Njaa au mfanyabiashara Staki utani wala kejeli asante
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Huu mwandiko unaonyesha we ni mkali na jeuri sana!!!Habarini za jioni wapendwa natafuta mume wa kuishi naye Miaka Kuanzia 35-45 mwenye kufanya kazi familia isilale Njaa au mfanyabiashara Staki utani wala kejeli asante
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Kila la heri.Sina vigezo
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Usiseme wazee, sema Dhahabu zinazotembea. Anyway acha wazee tuchangamkie fursaNaona unatafuta wazee..kila la heri!
Habarini za jioni wapendwa natafuta mume wa kuishi naye Miaka Kuanzia 35-45 mwenye kufanya kazi familia isilale Njaa au mfanyabiashara Staki utani wala kejeli asante
Sent from my TECNO W5 Lite using JamiiForums mobile app
Mimi siyo mkari Ila nimetoa tu angalizoHuu mwandiko unaonyesha we ni mkali na jeuri sana!!!
Samahani lakini
Navuta picha unamkaribisha chakula mpenzi wako mpya CHAKULA TAYARI!!!!!!!