Recent content by InVinoVeritas

  1. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Kufunga Mfumo wa Gas (CNG) Kwenye Subaru Forester.

    Unategemea kukaa na hilo gari kwa muda gani? Maana pia lazima utazame gharama za installation utakazoingia na unafuu wa gharama za mafuta utaupata lini. Pia aesthetics za ndani ya gari, zitaathiriwa kiasi gani na hilo limtungi (Hapa kwangu ndo ambapo sikuupenda hilo dude la CNG). Kama baadhi...
  2. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Utatu ni wa majukumu si mamlaka. Yesu ni Mungu lakini si Mkuu kuliko Baba

    Kuhusu Yohana, injili iliandikwa takribani miaka 60-70 toka Yesu. Nadhani unajua juu ya fasihi simulizi. Injili za mwanzo ni Marko, Mathayo na Luka. Alipewa mamlaka na Mungu. Naye aliwapa mamlaka wanafunzi wake kuponya na kusamehe dhambi. Haikuwapa wanafunzi wake uungu.
  3. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Utatu ni wa majukumu si mamlaka. Yesu ni Mungu lakini si Mkuu kuliko Baba

    Mungu ni mmoja tu, YHWH. Yesu hakuwahi kudai yeye ni Mungu. Anglesea yeye ni Mungu, wayahudi wangemuua kwa mawe. May be hata kwa Pilato asingefika. 1. Ukisoma injili zote, Yesu hakudai kuwa yeye ni Mungu, wala kujipa nafasi moja na Mungu. Kitu cha msingi pia, takamatsu mashtaka Wayahudi...
  4. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Kwanini Mungu hakurekebisha kilichosababisha shetani akaasi kabla ya kumuumba binadamu?

    K Wa hiyo mungu aliumba kutotii ndani ya mwanadamu?
  5. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Bemendazole naingia JF, naomba mnipokee!

    🤣🤣🤣
  6. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Sumu iletayo kansa yagundulika katika mbegu za Alizeti(sunflower seeds)

    Kuna hivi vitabu vizuri kuhusu lishe (nutrition) na afya zetu, namna makampuni makubwa yanatumia mianya hiyo ili kutengeneza pesa. The China Study na Whole: Rethinking the Science of Nutrition. Ameandika Dr. T. Colin Campbell, amefanya research nyingi ikiwemo zinazohusisha aflatoxin kwenye...
  7. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Sumu iletayo kansa yagundulika katika mbegu za Alizeti(sunflower seeds)

    Kwa kweli usalama wa chakula katika nchi zetu za Africa ni mbovu sana. Dona ni bora kiafya kuliko sembe, ikiwa mahindi yake hayajaingiwa na fangasi kama hao wanaoleta aflatoxin pia na mabaki ya dawa (pesticide residues). Unakuta mahindi yanatoka ghalani (yalipigwa dawa) then yakifika mashine...
  8. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania USA vs N.Korea Military Power

    NK waliwahi kuivamia South Korea mwaka 1950 wakaikamata waunde Korea Moja. US ikapinga hilo ikapeleka majeshi kuisaidia South. Mwaka 1953 vita iliisha baada ya majeshi ya NK kuretreat mpaka kwenye mipaka wao. Kwa hiyo US ikaweka majeshi yake South Korea mpaka leo wakishirikiana na South. Japan...
  9. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania USA vs N.Korea Military Power

    Mkuu umeongea point, Missile Defense System ya US haijakaa vizuri, hata baadhi ya wataalamu huko wanahoji ufanisi wake. Kuna uwezekano wa kushindwa kuzuia makombora hasa ICBM zikipigwa kuelekea US. NK wameweza kudevelop ICBM zao lakini sidhani zipo advanced vya kutosha kama za China au Russia...
  10. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania USA vs N.Korea Military Power

    NK imetengwa na Jumuiya ya Kimataifa a.k.a Marekani, Ulaya na washirika wao na Taasisi zao za Kifedha kama IMF, World Bank n.k. Nchi kama China, Urusi, Irani na nyingine zina misimamo yao tofauti na hiyo Jumuiya ya Magharibi. Hivyo huwa zinashirikiana kati yao, kama hivyo NK na China, Iran na...
  11. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania USA vs N.Korea Military Power

    Chanzo: Wakati wa Vita ya Pili ya Dunia Urusi (USSR) iliikomboa sehemu ya Korea ya Kaskazini na Marekani sehemu ya Kusini kutoka katika utawala wa Japan. Kutokana na tofauti za kiitikadi nchi mbili zikaundwa North Korea ikafuata itikadi za Kikomunisti kama Urusi na South Korea Ubepari kama US...
  12. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania USA vs N.Korea Military Power

    Ukisoma vizuri historia ya Korea Kaskazini utaona mkono wa China nyuma yake. Marekani kuichukua North Korea ikawa chini ya ushawishi wake kama ilivyo South Korea ni kitu ambacho China haikutaka na haitataka kitokee. North Korea wanasaidiwa sana na China. Bila mkono wa China wasingeleta jeuri...
  13. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania USA vs N.Korea Military Power

    Kuna vitu vingi vya kuangalia mkuu. Kiuwezo wa kijeshi, Marekani wamewaacha sana North Korea. Test za Makombora anazoangaika nazo North Korea sasa hivi, US walishazifanya miaka ya 1950-70 huko. Kwa ufupi kivita North Korea inachakazwa, ila ishu kubwa hapo ni China na kumiliki silaha za nyuklia...
  14. InVinoVeritas

    JamiiForums Tanzania Simu iliyouzwa zaidi

    Nokia 1110 sold estimated 250 million units
Back
Top Bottom